Dr.Dre ni kati ya wasanii wa Hip Hop waliopata heshima sana katika game na alitajwa katika marapper watano wenye mkwanja akiwemo P.Diddy, Jay Z, Birdman, 50 cent na yeye mwenyewe Dr Dre. Katika mauzo ya headphones zinazofahamika kama beats by dre zilimumrudisha Dre hadi juu na kuwa kati ya marapper wenye mkwanja, Na kwa sasa yuko tayari kuanza kuonekana kwenye Tv Drama mpaka sasa bado anaendelea kumalizia script ya Drama FX.
WANAFUNZI WA MRIJO JUU WANUFAIKA NA MSAADA WA VIFAA VYA HEDHI KUIMARISHA
ELIMU YA WASICHANA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Mrijo Juu iliyopo wilayani
Chemba mkoani Dodoma wamepata nafuu ya changamoto zi...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment