Dr.Dre ni kati ya wasanii wa Hip Hop waliopata heshima sana katika game na alitajwa katika marapper watano wenye mkwanja akiwemo P.Diddy, Jay Z, Birdman, 50 cent na yeye mwenyewe Dr Dre. Katika mauzo ya headphones zinazofahamika kama beats by dre zilimumrudisha Dre hadi juu na kuwa kati ya marapper wenye mkwanja, Na kwa sasa yuko tayari kuanza kuonekana kwenye Tv Drama mpaka sasa bado anaendelea kumalizia script ya Drama FX.
Britam Tanzania Yawekeza Katika Miradi ya Maji na Upandaji Miti Kwenye
Shule Mbili za Msingi
-
Britam Insurance Limited (Tanzania) imewekeza TZS milioni 40 katika mradi
wa maji safi unaolenga shule mbili za msingi jijini Dar es Salaam, ikiwa ni
se...
1 hour ago






0 comments:
Post a Comment