Dr.Dre ni kati ya wasanii wa Hip Hop waliopata heshima sana katika game na alitajwa katika marapper watano wenye mkwanja akiwemo P.Diddy, Jay Z, Birdman, 50 cent na yeye mwenyewe Dr Dre. Katika mauzo ya headphones zinazofahamika kama beats by dre zilimumrudisha Dre hadi juu na kuwa kati ya marapper wenye mkwanja, Na kwa sasa yuko tayari kuanza kuonekana kwenye Tv Drama mpaka sasa bado anaendelea kumalizia script ya Drama FX.
Kimataifa : EU na UNHCR Wasaini makubaliano ya zaidi bilioni 9 kuimarisha
Ulinzi na msaada wa wakimbizi
-
Mwandishi Wetu , Dar Es Salaam.
Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi
Duniani (UNHCR) wamesaini makubaliano mapya ya u...
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment