Friday 10 August 2012

LINEX AOMBA RADHI WANAWAKE WOTE NA JAMII KWA UJUMLA





siku chache baada ya msanii Linex kutoa video ya wimbo wake (AIFOLA), ameandika katika ukurasa wake wa facebook, akiomba radhi kwa wanawake wote kutokana na kipande cha video yake ikimuanyesha akimpiga kofi mschana aliekuwa anaigiza nae katika video hiyo kutokana na kupata malalamiko mengi yanayodai kuichochoa jamii katika vitendo hivyo hasa kwa wanaume

"Naomba radhi kwa kila mwanamke Dunian kofi nililompiga vdeo gal wa kwenye aifola vdeo sikua nakusudia uchochezi wa mwanamke kupigwa na mwanaume wake natumai wanaume wenzangu mmenielewa lengo ilikua kutafuta uhalisia wa matukio kwenye vdeo yangu #team mwanamke hapigwi analiwazwa na kubembelezwa..." amesema linex




0 comments:

Post a Comment