This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday 5 September 2016

UTAFITI: KIINGEREZA HUTATIZA SANA WANAFUNZI TANZANIA



 
Nchini Tanzania taasisi ya utafiti wa masuala ya elimu Twaweza imetoa ripoti yake inayoonesha kuwa

MAELFU WAANDAMANA KUMPINGA RAIS BRAZIL…

Polisi katika mji wa Sao Paulo Brazil, wametumia vitoa machozi kuyatawanya maandamano

LIL WAYNE ASTAAFU MUZIKI…

Lil Wayne ametangaza kwamba amestaafu kutoka kwenye tasnia ya muziki.

Thursday 28 July 2016

TANZANIA KINARA WA SOKO LA SIMU AFRIKA…

Ripoti ya mwaka 2016 ya Uchumi wa Simu za Mikononi Afrika inasema kuwa,

Friday 22 July 2016

2016 WAELEKEA KUWA MWAKA WENYE JOTO KALI KUWAHI KUREKODIWA..!

Mwaka huu wa 2016 huenda ukawa ndio wenye joto kali zaidi kuwahi kurekodiwa, kufuatia hali ya joto

PANYA SASA KUTUMIA UZAZI WA MPANGO…!

Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), kimepata suluhisho la kupunguza kuzaliana panya nchini kwa

Thursday 14 July 2016

VIDEO: ROMA FT JOSE MTAMBO & DARASA

Roma karudi tena kwenye luninga yako na hii video mpya kaa tayaringoma imesukwa pale Tongwe Record.
Tizama video hapo chini

UTAFITI:UNENE UNAUA MAPEMA…!!

 
Utafiti wa kimataifa umegundua kuwa kunenepa kunahusiana moja kwa moja na visa vya watu kufa

Wednesday 13 July 2016

UNYONYAJI KIDOLE UNAFAIDA KWA WATOTO- UTAFITI

Ripoti mpya inasema watoto wanaonyonya vidole au kung'ata kucha zao kwa meno huenda wasipate

NEW JOINT:KAA TAYARI-ROMA FT JOSE MTAMBO & DARASA

Ngoma mpya ya Roma Mkatoliki amewashirikisha Jos Mtambo na Darassa,Imetayarishwa na J-Ryder katika studio za Tongwe. Unaweza kuisikiliza kwa kubonyeza kitufe cha Play hapo chini.

UNENE WA KUPITA KIASI……!

Utafiti wa mmoja kiafya duniani umeonyesha ongezeko la asilimia 82 la watu wanene kupita

Tuesday 12 July 2016

HII NDIO NCHI INAYOONGOZA KWA WATU WAKE KUWA NA HIV..!

Marekani imeiahidi Afrika Kusini msaada wa dola milioni 410, katika vita dhidi ya ugonjwa wa

MUSEVENI ASIMAMISHA MSAFARA WAKE KUPOKEA SIMU…!!

Rais wa Uganda bwana Yoweri Kaguta Museveni, amezua kihoja katika kijiji kimoja karibu na

Monday 11 July 2016

MAMIA KUPIGWA PICHA ZA UTUPU UINGEREZA

Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza.
Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni.
Washiriki watapakwa rangi ya samawati Jumamosi na kisha wapigwe picha wakiwa katika maeneo mashuhuri jijini humo kama sehemu ya mradi uliopewa jina Sea of Hull.
Mradi huo unatekelezwa na mpiga picha Spencer Tunick na unadhaminiwa na taasisi ya Sanaa ya Ferens Art Gallery.
Picha zitakazopigwa zitawekwa na kuoneshwa kwa umma wakati wa tamasha ya sanaa ya 2017 itakayoendelea kwa mwaka mmoja.
Tunick, anayetoka New York, amewahi kufanya kazi kama hiyo kwingine.
Amewahi kupiga picha za watu wengi wakiwa uchi Sydney Opera House, Place des Arts mjini Montreal, Mexico City na mjini Munich nchini Ujerumani Germany.
Bw Tunick amesema kazi zake “hugusia historia ndefu ya Sanaa ya utupu”.
"Mavazi ni Sanaa ya mtu mwingine,” anasema.
“Fashoni ni Sanaa. Kwa kuondoa hilo (mavazi), nitakuwa nafanya kazi na usawa na maumbile katika umaridadi wake.”
Watu karibu 2,000 wamejiandikisha kupigwa picha tangu wazo hilo litangazwe mwezi Machi.

Baraza la mji wa Hull limesema baadhi ya barabara zitafungwa wakati wa shughuli hiyo Jumamosi asubuhi.

Tuesday 5 July 2016

MJI WA MADINA WASHAMBULIWA…!!

Mshambuliaji mmoja wa kujitoa mhanga, amejilipua katikati ya Jiji la Media jirani na Msikiti wa


Mtume.

Jiji la Medina ni miongoni mwa miji mitakatifu, kwa mujibu wa Imani za dini ya Kiislamu.
Kituo cha Televisheni cha Arabiya kimesema kuwa, mlipuaji huyo alitekeleza unyama huo wakati maofisa wa usalama wakifuturu.
Habari kutoka mjini humo zimesema kuwa, maofisa wawili wameuawa lakini hakuna taarifa rasmi ya kiserikali iliyotolewa hadi sasa.

Msikiti wa Mtume ndipo alipozikwa Mtume muhamad, na jiji hilo ni mji mtakatifu wa pili kwa Waislamu nyuma ya Macca.

WAZIRI MKUU APIGA MARUFUKU SHISHA NCHI NZIMA,HAYA HAPA MADHARA YAKE..!

Waziri mkuu Kassim Majaliwa, amepiga marufuku uvutaji wa shisha nchini, na kulitaka Jeshi la

Monday 4 July 2016

MAJAJI WAJINOA MAHAKAMA YA UFISADI…!!

Jaji Mkuu wa tanzania Mohamed Chande amesema kuwa, jopo la majaji linatarajiwa kuingia darasani ili


kujifunza sheria mpya ya kuendesha kesi za ufisadi.

 Kesi hizo zitakuwa zinaendeshwa katika Mahakama Kuu Kitengo cha Uhujumu Uchumi, na tayari majaji 14 wa wataanza kozi maalumu ya siku tano katika Chuo cha Sheria kilichopo Lushoto, Tanga.
 Amesema hatua hiyo inakuja baada ya wiki iliyopita, Bunge kupitisha sheria ya uhujumu uchumi ya mwaka 2002 ikiwa na maboresho mbalimbali.

Ameongeza kuwa maeneo yapo tayari na wameshapeleka wasajili na watendaji ambao wameanza kufanya kazi,na baada ya michakato mingine kukamilika kila kitu kitakuwa sawa na majaji wataanza kazi.

SOKO LA PANYA WA SUA LAONGEZEKA…!

Soko la panya waliogunduliwa na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) wenye uwezo wa kutegua

Thursday 30 June 2016

SIAFU WAUA BWANA HARUSI…!!

Wakazi  wa Kijiji  cha  Nditu,  Kata  ya Suma, Wilaya ya Rungwe  mkoani Mbeya, wamegoma

Wednesday 29 June 2016

PADRI APIGA MARUFUKU LIPSTICK KWA MAHARUSI….!


Waumini wanawake wanaokwenda kufunga ndoa katika Kanisa Katoliki Parokia ya Hananasif

Tuesday 28 June 2016

HIFADHI KUBWA ZAIDI YA GESI YAGUNDULIWA TANZANIA….!

 
Tanzania ni miongoni mwa mataifa chache duniani yaliyojaliwa kuwa na rasilimali na madini mengi.

TIMU ZILIZOINGIA ROBO FAINALI EURO 2016....

Michuano ya Euro 2016 hatua ya 16 bora ya imemalizika tayari na hizi ndo timu ambazo zimesha

UKIJAAMIANA NA UNDER 18 JELA INAKUITA..…!

June 27 2016 bunge la 11 limefanya mapitio ya marekebisho ya muswada wa sheria ya mtoto,

Friday 24 June 2016

WAZIRI MKUU WA UINGEREZA AJIUZULU….!

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya.

ALIMWA KADI NYEKUNDU KWA KUPUMUA MBELE YA MWAMUZI….!

Mchezaji wa Sweden ameonyeshwa kadi nyekundu baada ya mwamuzi kumtuhumu kuwa alifanya vitendo visivyokuwa vya ‘kiungwana’ na ‘kiuanamichezo’ uwanjani.

Thursday 23 June 2016

ITALIA YAWATAKA WATENGENEZA PIZZA KUSOMA ZAIDI…..

Kundi la maseneta wa Italia wametoa wito kwa watengenezaji wa Pizza nchini humo, kupasi mitihani yao ili kuboresha viwango vya uandaaji wa mlo huo.

SEKTA YA FILAMU ZA NGONO YAOMBA MSAMAHA JAPAN…!

Muungano wa sekta ya filamu za ngono nchini Japan umeomba msamaha na kuahidi kuifanyia

WATAOFANYA UASHERATI KUFUNGWA CAMEROON…!!

Wanaume ambao hushiriki uasherati watafungwa jela, chini ya

BABA AJIWEKA TATOO KUFANANA NA MWANAWE ALIYEFANYIWA UPASUAJI…

Baba wa miaka 28 nchini Marekani amenyoa kichwa chake na kuweka mchoro wa tattoo, unaofanana na kovu la kichwa cha mwanawe aliyefanyiwa upasuaji.

Wednesday 22 June 2016

STAILI YA UKAWA YABAMBA MITANDAONI…!

Picha za watu wa kada mbalimbali nchini wakiigiza ‘staili’ mpya ya wabunge wa

TFDA YAKAMATA TENDE MPAKANI…!

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), imekamata tani laki sita za tende mpakani

SHEREHE YA KULA NYAMA YA MBWA YAANZA CHINA…!

Sherehe ya kila mwaka ya kula mbwa imeanza jana kusini mwa taifa la China licha ya pingamizi kutoka katika taifa hilo na ugenini

MICHELLE OBAMA AJIUNGA SNAPCHAT…!

Wapenzi wa Snap Chap wamepata mfuasi mpya,kwani Mke wa rais Wa Marekani Michelle Obama sasa amejiunga rasmi na mtandao wa kijamii wa Snapchat.

Friday 10 June 2016

WANASAYANSI WAGEUZA HEWA YA SUMU KUWA JIWE…!!

Watafiti wanaoendesha uchunguzi katika eneo la Ice land, wanaamini kuwa wanaweza kupunguza

ZITTO ASEMA ALICHOHOJIWA NA POLISI…!!

Jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaamu lilimuita na kumuhoji mbunge wa kigoma mjini

MTOTO WA NYANI’ ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI…!

Kijana Baraka Joshua (23) inayedaiwa alikuwa akiishi na nyani baada ya kuzaliwa na

Thursday 9 June 2016

HII NDIYO MIKOA INAYOONGOZA KWA UTAPIA MLO NCHINI..!!


Pamoja na maendeleo yaliyotokana na kukua kwa pato la wastani la Mtanzania na kupungua kwa

MABISHOO KUPUNGUA MITAANI…!!

Bajeti ya Serikali iliyotangazwa huenda ikapunguza idadi ya watu wanaopenda kuonekana

Wednesday 8 June 2016

HILLARY CLINTON AWEKA HISTORIA MAREKANI…!

Vyombo vya habari vya Marekani vilibashiri Clinton atakuwa na wajumbe wa kutosha kuwa chaguo

KESHI AFARIKI DUNIA….

Nahodha na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria Stephen Keshi (54) amefariki

Tuesday 7 June 2016

MBEGU ZA KIUME ZENYE UKIMWI KUSAFISHWA NCHINI..!

Wanaume wanaoishi na virusi vya Ukimwi sasa huenda wakapata suluhisho, la kupata

WACHINA WAONGOZA KUINGIA TZ KINYUME CHA SHERIA.!

Raia wa China wameelezwa kuongoza kuingia nchini kinyume cha sheria, katika kipindi cha

JELA MIAKA 30 KWA KUFANYA NGONO NA BINTI YAKE..!

Mkazi wa Njiapanda ya Himo mkoani Kilimanjaro Daniel Mshana (41), amehukumiwa

Friday 27 May 2016

MTOTO MZITO ZAIDI AZALIWA INDIA…!!!

Mwanamke mmoja nchini India amejifungua mtoto wa uzani wa kilo 6.8, ambaye madaktari

Monday 16 May 2016

WALIOTAPELI SH 62 BILIONI UINGEREZA WASAKWA DAR…

Shirika la Kimataifa la Polisi linawasaka raia wawili wa Scotland, wanaodaiwa kukimbilia Tanzania

Thursday 12 May 2016

RAIS WA BRAZIL DILMA ROUSSEFF ASIMAMISHWA KAZI…!!

Bunge la Seneti Brazil limepiga kura kuamua kuidhinisha kura ya kutokuwa na imani dhidi ya kiongozi wa taifa hilo Dilma Rousseff.

ITALIA YAHALALISHA NDOA ZA JINSIA MOJA..!!

Italia imekuwa mojawapo ya mataifa ya mwisho ya Magharibi,

UTAFITI:ASILIMIA 25 YA WANAWAKE WAJAWAZITO HUTOA MIMBA…!!

Mwanamke mmoja kati ya wanne waja wazito hutoa mimba kila mwaka, takwimu kutoka shirika la

MWANAMKE AFUTWA KAZI KWA KUTOVAA VIATU VYA JUU..!!

Karani mmoja wa kupokea wageni mjini London, alilazimika kurudi nyumbani baada ya kukataa