This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday 30 July 2015

Lowassa mgombea urais CHADEMA……

Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa amechukua Fomu rasmi ya kugombea urais kupitia tiketi ya Chadema.

Wednesday 29 July 2015


Usikose nakala yako ya Gazeti la TABIBU kesho Alhamisi kwa bei ya sh. 500/= tu.!!
                                                             TABIBU michezo wiki hii.!!

Monday 27 July 2015

Yengoma-Wimbo mpya wa Rais Museven wa Uganda....!!!!

Rais wa Uganda Yoweri Museven
Hiii sio mara ya kwanza kioongozi huyo wa taifa uganda kutoa wimbo,kwani itakumbukwa wimbo wake wa You need another Rap,ulikuwa maarufu sana katika mitanda mbali mbali duniani.

Kwa sasa ameachia single nyinge aliyooipa jina la Yengoma,ikiwa ni mahususi kabisa kwa ajili ya kampeni ya urasi mwaka 2016.
Tenga muda wako kidogo kuisikiliza hapa chini kwa kubonyeza Play au unaweza kuishusha pia na ukaisikilizauda wako.

Mnenguaji ahukumiwa Misri........

Mmoja ya wanenguaji nchini Misri
Mnenguaji wa kike nchini Misri amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kuonekana kwenye video yenye utata mtandaoni.

Mwanawe Whitney afariki……………

Bobbi Kristina Brown mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki waR&B,amefariki dunia

Friday 24 July 2015

Korea kaskazini yatoa utaratibu mpya kila ikifika saa 11 Alfajiri……

 
Kama ulikuwa hufahamu ni kwamba Korea Kaskazini sasa hivi hali ya hewa ni joto sana, lakini yapo mengine toka huko ambapo msimu huu wa joto kali umepewa jina la Sambok.

Sayari nyingine yagunduliwa…

Wanasayansi wa taasisi ya Marekani ya Uchunguzi wa Anga NASA, wamegundua sayari inayofanana kwa karibu zaidi na dunia kuliko sayari nyingine zote.

Thursday 23 July 2015

Gereza la Guantanamo lakaribia kufungwa..

gereza la Guantanamo linamilikiwa na Marekani
Ikulu ya White house imesema kuwa mipango ya kulifunga gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba imefikia awamu za mwisho.

Wednesday 22 July 2015

Mabadiliko ya muda wa kulala na saratani.

Ugonjwa wa Saratani

Mabadiliko katika mfumo wa kulala unaweza kusababisha mtu kupata saratani ya Maziwa.

Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya wanasayansi juu ya athari ya kazi za zamu kiafya.

Matumaini ya tiba ya ubongo…….!

Maradhi ya Alzheimer huua seli za ubongo
Data zinasubiriwa kwa hamu kuhusu dawa inayotumainiwa kuponya ugonjwa wa udhoofu wa ubongo (Alzheimer) baadae leo.

Tuesday 21 July 2015

New Joint from Mambo band-Dadavua

Wanafahamika kama Mambo Band,kundi linaloundwa na vijana watatu P.Man Star,Yuyu na Musa Bhai,wenye maskani yao mitaa ya Sekei-Kaza moyo Arusha.

Ngoma yao inafahamika kama DADAVUA imefanyika katika studio zao wenyewe zinazofahamika kama KM PRODUCTION MUSIC.
Mwanzo walifahamika na wimbo wao maarufu unatambulika kwa jina la Kalala Bar,ulifanyika katika hizo hizo studio zao wenyewe na kufanya vizuri katika radio mbali mbali.

Sasa hapa nimekuwekea wimbo wao mpya kabisa DADAVUA waliouachia leo Tar  21-7-2015 kweye radio station mbali mbali hapa nchini Ttanzania.

Unaweza kuusikiliaza kwa kubonyeza Play hapa chini au kuushusha ukausikilza kwa muda wako,suport vipaji vipya one love.

Kitimtim michuano ya Klabu Bingwa Ulaya...

Michuano ya Klabu Bingwa Ulaya inaendelea tena hii leo kwa timu zile zinacheza round yakwanza ambapo Dila Gori ya Geogia itakuwa na kibarua kigumu itakapoumana vikali na Partizan Belgrade ya Serbia.

Kizee chauawa kwa kudaiwa mchawi,India…….

Wanyama pia hutumiwa katika ushirikina
Bibi kizee mmoja amenyongwa hadi kufa na wanakijiji wenzake, kwa tuhuma za ushirikina, kaskazini mashariki mwa India.

Thursday 16 July 2015

George HW Bush avunjika shingo..........

Aliyekuwa rais wa Marekani George HW Bush amelazwa hospitalini baada ya kuvunjika mfupa wa shingoni alipoanguka nyumbani kwake huko Maine.

Je wajua kuna tamasha la mbu Urusi…..?

Watu wengi wanawachukia, lakini mbu sasa husherekewa kwa tamasha la kipekee katika mji mmoja huko nchini Urusi.

Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16…

Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.
Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.

Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.

Picha ya kwanza kutoka sayari ya Pluto……

Picha ya kwanza inaonyesha kwa undani sayari ya Pluto ilivyo imeonyeshwa kwa mara ya kwanza duniani.

Wednesday 15 July 2015

J.COLD AACHIA NGOMA NYINGINE-TUPENDANE FT NEY LEE

Kijana toka kilimanjaro anafahamka kama J.Cold anapokuwa na Microphone mkononi,ila jina lake la kiserikali ni January.

Hapa ametuletea zawadi ya Idd kwa kuachia ngoma mpya aliyomshirikisha mwanadada Ney Lee aliyoibatiza jina la Tupendane,Unaweza kuipakua na kuisikiliza hapa chini.

Wabunge wa Rwanda wamuunga mkono Kagame kugombea muhula wa tatu..

Wabunge wa Rwanda wamepiga kura jana Jumanne kuunga mkono mabadiliko ya katiba, ili kumruhusu rais Paul Kagame awanie muhula wa tatu madarakani, wakiunga mkono waraka ulotiwa saini na mamilioni ya raia.

NASA wapata taarifa za Sayari ya Pluto……

Wana sayansi wa NASA kutoka Marekani wanasema kuwa,majaribio yao ya kurusha chombo kwenda katika sayari ya Pluto yamekuwa na mafanikio makubwa.

Tuesday 14 July 2015

Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi...!!!

Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati jumamosi wiki hii inaanza kutimua vumbi mjini Dar es Salaam Tanzania huku jumla ya vilabu 13 vikishiriki.

Monday 13 July 2015

Kambi ya jeshi yaporomoka na kuua 23 Urusi…

Takriban wanajeshi 23 wa Urusi wameuawa karibu na mji wa Omsk ulioko Siberia,baada ya jengo la kambi ya kijeshi kuporomoka.

Msako mkali Mexico wa muuza mihadarati……

Gwiji la Mihadarati anayesakwa Mexico Joaguin Guzman
Mamlaka ya nchini Mexico limeanza msako mkali wa kumtafuta Joaguin Guzman gwiji la biashara ya madawa ya kulevya duniani, kufuatia kutoroka kwake katika gereza lenye ulinzi mkali mwishoni mwa wiki.

Polisi 4 wauawa katika shambulizi Dar....

Maafisa wanne wa polisi na raia wawili wameuawa baada ya watu wasiojulikana kuvamia kituo cha polisi mjini Dar es salaam Tanzania.

Thursday 9 July 2015

Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani……

Vyombo vya habari vya Ujerumani vimeripoti kuwa,nakala za siri zilizochapishwa katika mtandao wa wikileaks hapo jana,zinanonesha kuwa shirika la usalama wa taifa la Marekani limekuwa likiwafanyia udukuzi machansela wa tatu waliotangulia wa nchi hiyo.

Wednesday 8 July 2015

Mwanamme mzee zaidi duniani aaga dunia…!!!

Mwanamme mzee zaidi duniani raia wa Japan Sakari Momoi, ameaga dunia mjini Tokyo akiwa na umri wa miaka 112.

Marekani kufuta kazi baadhi ya wanajeshi..!!

Rais wa Marekani Barack Obamav
Vyombo vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa, jeshi la marekani limethibitisha kuwa na mpango wa kupunguza jeshi lake kwa kuwaachisha kazi askari wake wapatao arobaini kwa miaka miwili ijayo.

Mtandao usiokubali dhambi wavutia wengi....!!!

Waanzilishi wa Facegloria wanadai kwamba mtandao huo umewavutia wafuasi takriban laki moja tangu uzinduliwe mwezi Juni.

Friday 3 July 2015

NI VITA BUNGENI JULY 3......



Baada ya jana Bunge kuharishwa kutokana na wabunge wa upinzani kugomea nia ya kuruhusu miswada mitatu ya mafuta na gesi, kuingizwa bungeni na kujadiliwa kwa hati ya dharura, leo limehairishwa tena baada ya kubuka mzozo bungeni huko.

Waziri aelezea hali ya ugaidi hapa nchini……

Naibu waziri wa mambo ya ndani Mheshimiwa Silima,amejibu swali juu ya hali ya ugaidi hapa nchini licha ya kifo cha kiongozi wa kundi la kigaidi Osama bin Ladden.
Naibu waziri ameeleza hiyo leo bungeni mjini dodoma alipokuwa akijibu swali ya mbunge wa Chonga Mheshimiwa Haroub Mohamed Shamis, aliyetaka kujua hali ya ugaidi ilivyo hapa nchini.
Katika majibu yake mheshimiwa Naibu waziri wa mambo ya ndani Silima,hapa anaanza kwa kuelezea ugaidi ni nini,Bonyeza play hapa chini kumsikiliza

Huruhusiwi kushika mimba Uchina bila ruhusa……

Kampuni moja ya Uchina inapanga kutoa masharti,ambapo wafanyikazi wake watatakiwa kupata ruhusa kabla ya kuanza familia.

Thursday 2 July 2015

Bunge lachafukaa..

Spika wa bunge Anna Makinda leo amelazimika kuliarisha bunge kabla ya muda wake wa kawaida, baada ya kuibuka mzozo mkali baada ya Madai ya Mbunge wa Ubungo Mhe.Mnyika, juu ya ukiukwaji wa kanuni za bunge katika kuwasilishwa miswada mitatu bungeni hapo.

Uhuru Kenyatta ndio rais bora Afrika……

Uhuru Kenyatta ndiye rais bora barani Afrika
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka huu.

Msumbiji yakubali mapenzi ya jinsia moja...!!

Nchi chache Afrika zimekubali mapenzi ya jinsia moja
Msumbiji imehalalisha mapenzi ya jinsia moja,na kuwa moja wapo wa nchi chache Afrika zinazohalalisha mapenzi ya jinsia moja.