Wednesday, 15 July 2015

NASA wapata taarifa za Sayari ya Pluto……

Wana sayansi wa NASA kutoka Marekani wanasema kuwa,majaribio yao ya kurusha chombo kwenda katika sayari ya Pluto yamekuwa na mafanikio makubwa.

Chombo hicho kimefanikiwa kutuma taarifa katika kituo cha utafiti huo cha Maryland, zilizochukua takribani saa nne na nusu hadi kufika duniani na kupokelewa na antenna NASA.

Saa chache zijazo wanasayansi hawa wa NASA wameeleza kuwa, wanatarajia kupata mfululizo wa taariza zaidi na picha kutoka sayari hiyo ya Pluto ambazo zitatoa uhalisia wa undani wa sayari hiyo ya Pluto.

Related Posts:

  • Kupambana na utipwatipwa ni wajibu wa jamii:WHO.. Shirika la Afya Duniani WHO jana limezindua ripoti yake ya muda kuhusu kusitisha utipwatipwa wa watoto, ikisema idadi ya watoto wanaokumbwa na unene huo wa kupindukia imeongezeka kwa asilimia 47 tangu mwaka 1980, hasa … Read More
  • Usikose kusoma gazeti la TABIBU kesho alhamisi likiwa limesheheni habari kemkem kuhusu afya. TABIBU michezo wiki hii.!!! … Read More
  • Zaidi ya watu mil 1 wanatumia dawa za kulevya China..! China ni nchi ambayo adhabu zake kwa wahusika wa dawa za kulevya hazina salia mtume kabisa yaani ukishikwa basi adhabu ya kifo inachukuwa hatamu. China wana sheria kali sana dhidi ya wahusika wa dawa za kulevya, ila st… Read More
  • Hollande achunguzwa na NSA…..? Mtandao wa Wikileaks umechapisha nyaraka zinazoonyesha kuwa chombo cha upelelezi cha Marekani NSA kimemchunguza rais wa Ufaransa, Francois Hollande, na marais wawili waliokuwa kabla yake. Pata taarifa zaidi kwa kubonyza p… Read More
  • Wanaovalia suruali za kubana waonywa… Suruali ndefu aina ya jinsi zinazobana, zinaweza kusababisha madhara makubwa kwa mishipa na misuli, madaktari wameonya. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 35,alilazimika kutolewa ndani ya suruali ndefu aina ya Jeans b… Read More

0 comments:

Post a Comment