This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
Tuesday 30 June 2015
Facebook yafungua Ofisi Afrika kusini....!!!
June 30, 2015
No comments
Kwa
mara ya kwanza Facebook imefungua ofisi yake barani Afrika, Johannesburg nchini
Afrika kusini ikiwa ndio makao makuu.
Monday 29 June 2015
Mfungwa aliyetoroka New York akamatwa..
June 29, 2015
No comments
AU yajiweka kando uchaguzi wa Burundi……
June 29, 2015
No comments
Friday 26 June 2015
Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa………
June 26, 2015
No comments
Watoto waliwa na fisi, wafa…
June 26, 2015
No comments
Watoto
wawili wenye umri wa kati ya miaka miwili na mitano wameuawa na fisi katika
Kijiji cha Mnkola, Kata ya Ibihwa wilayani Bahi Mkoa wa Dodoma katika matukio
mawili tofauti.
Alioa siku 3 tu kabla ya kuaga dunia……!!
June 26, 2015
No comments
Kobe huenda wakaangamia Madagascar....!
June 26, 2015
No comments
Aina moja ya
Kobe wanaowindwa na wawindaji haramu nchini Madagascar wako katika hatari kubwa
ya kuangamia.
Sasa wanaharakati wa kulinda mazingira wameanza kuweka alama
kwenye kauri za kobe hao waliosalia kwa nia ya kuharibu uzuri wao katika macho
ya wawindaji haramu.
Kobe mmoja anauzwa katika soko la chini kwa chini kwa dola elfu
37 hivi.
Thursday 25 June 2015
Wapatikana hai siku 5 baada ya ajali ya ndege...
June 25, 2015
No comments
Bi Maria Nelly Murillo 18 na mwanawe wa kiume mwenye umri
wa mwaka mmoja, walipatikana siku 5 baada ya ndege ya Cessna waliokuwa
wakisafiria kuanguka katika msitu mkubwa ulioko katika jimbo la Choco.
Mtoto auwawa baada ya kubakwa Dar…………
June 25, 2015
No comments
Mtoto
anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka mitano hadi sita, ameuwa kikatili
jijini Dar es salaam baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo huku akidaiwa kunyofolewa
sehemu za siri.
Akamatwa uwanja wa ndege Dar na kobe 173…
June 25, 2015
No comments
Jeshi la
Polisi Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere,linamshikilia raia wa Kuwait
Hussein Mansoor, kwa kukutwa na kobe hai 173 aliokuwa akiwasafirisha kueleka
nchini kwake.
Wednesday 24 June 2015
Facebook kukutambua bila picha ya uso...!!!
June 24, 2015
No comments
Tayari
mtandao huo wa kijamii wa Facebook unakusanya taarifa kutoka katika picha zako
ili kubaini migao ya maoni kutoka kwa marafiki wako pale wanapoweka mtandaoni
picha.
Kondomu inayotambua maambukizi ya Zinaa...!!
June 24, 2015
No comments
Wanafunzi
katika shule moja nchini Uingereza, wameunda mipira ya kondomu inayowaonya
watumiaji wanapojamiana na mtu aliyeambukizwa maradhi ya zinaa.
June 24, 2015
No comments
Usikose kusoma gazeti la TABIBU kesho alhamisi likiwa limesheheni habari kemkem kuhusu afya.
TABIBU michezo wiki hii.!!!
Hollande achunguzwa na NSA…..?
June 24, 2015
No comments
Mtandao wa Wikileaks umechapisha nyaraka zinazoonyesha
kuwa chombo cha upelelezi cha Marekani NSA kimemchunguza rais wa Ufaransa,
Francois Hollande, na marais wawili waliokuwa kabla yake.
Pata taarifa zaidi kwa
kubonyza play hapa chini
Kupambana na utipwatipwa ni wajibu wa jamii:WHO..
June 24, 2015
No comments
Shirika la
Afya Duniani WHO jana limezindua ripoti yake ya muda kuhusu kusitisha
utipwatipwa wa watoto, ikisema idadi ya watoto wanaokumbwa na unene huo wa
kupindukia imeongezeka kwa asilimia 47 tangu mwaka 1980, hasa kwenye nchi zenye
kipato cha juu.
Wanaovalia suruali za kubana waonywa…
June 24, 2015
No comments
Suruali ndefu aina ya jinsi zinazobana, zinaweza kusababisha madhara makubwa kwa mishipa na misuli, madaktari wameonya.
Mwalimu mkuu ashiriki ngono na wanafunzi……!!
June 24, 2015
No comments
Mwalimu
mmoja mkuu, amekiri kufanya ngono na wavulana wawili wenye umri mdogo.
Anne Lakey mwenye umri wa miaka
55 kutoka eneo la Stanley katika kaunti ya Durham, amekanusha makosa 13 dhidi
yake ya kufanya matendo ya aibu kwa kushikashika sehemu za siri wavulana wawili
miaka ya themanini.
Zaidi ya watu mil 1 wanatumia dawa za kulevya China..!
June 24, 2015
No comments
China ni nchi ambayo adhabu zake kwa wahusika wa dawa za kulevya hazina salia mtume kabisa yaani ukishikwa basi adhabu ya kifo inachukuwa hatamu.
Tuesday 23 June 2015
Mazungumzo ya amani Burundi kuanza tena…
June 23, 2015
No comments
Rais Pierre Nkurunziza |
Mazungumzo
ya kutafuta amani nchini Burundi, yanatarajiwa kuanza tena leo baada ya
kusitishwa kwa siku kadhaa.
Mazungumzo hayo ni kati ya serikali, vyama vya
upinzani na makundi ya kutetea haki za kibinaadamu, yenye lengo la kumaliza
mgogoro wa kisiasa uliozuka kufuatia azma ya Rais Pierre Nkurunziza ya kuwania
muhula wa tatu.
Mazungumzo
hayo yanasimamiwa na msuluhishi mpya Abdoulaye Bathily kutoka Senegal.
Kutoka Bujumbura Burundi sikiliza taarifa ya Ramadhan Kibuga anasimulia.
Sherehe za nyama ya mbwa zaanza Uchina….!
June 23, 2015
No comments
Sherehe ya kula nyama ya mbwa kusini magharibi mwa China,imeanza
huku kukiwa na pingamizi miongoni mwa wanaharakati wa haki za wanyama.
Takriban mbwa 10,000 watachinjwa na nyama yao kuliwa katika
sherehe hizo,zitakazofanyika katika eneo la Yulin mkoa wa Guangxi siku ya
jumapili na jumatatu.
Hii inafanyikia ili kuadhimisha kuanza kwa msimu wa joto
kulingana na vyombo vya habari vya kitaifa.
Maji ya ATM yazinduliwa nchini Kenya……
June 23, 2015
No comments
Wakazi
wa kitongoji duni cha Mathare katika mji mkuu wa Kenya Nairobi, sasa wanaweza
kupata maji safi ya kunywa na kwa matumizi mengine.
Monday 22 June 2015
Kuhusu vurungu alizofanyiwa Rais Jacob Zuma bungeni..!!
June 22, 2015
No comments
Bunge la Afghanistan lashambuliwa……
June 22, 2015
No comments
ANTENNA SHOW YA RADIO 5 IJUMAA TAR 19-6-2015..
June 22, 2015
No comments
HII HAPA NGOMA MPYA YA MCHINA BOY-JISOGEZE
June 22, 2015
No comments
Nimekuwekea hapa ngoma mpya ya kijana anafahamika kama Mchina boy akiwa amewashirikisha wakali War wil na Shebby Love,ngoma inakwenda kwa jina la JISOGEZE.
Unaweza kuisikiliza ngoma hiyo hapa chini pia kuishusha uendelee kusaport Good Music Uzidi kupenya kila kona.
Unaweza kuisikiliza ngoma hiyo hapa chini pia kuishusha uendelee kusaport Good Music Uzidi kupenya kila kona.
Utafiti:Watoto waongo ni werevu...!!!
June 22, 2015
No comments
Wanasayansi nchini Uingereza wanasema
kuwa wana ushahidi kwamba watoto wanaodanganya bila mtu kugundua wana
kumbukumbu nzuri ikilinganishwa na wale wasiodanganya.
Friday 19 June 2015
Jimbo lingine Marekani lahalalisha matumizi ya bangi……!!!
June 19, 2015
No comments
Gavana
wa Jimbo la Delaware nchini Marekani Jack Allan Markell, leo ameingia kwenye Headlines baada ya kusaini Sheria
inayoruhusu matumizi ya bangi.
ANTENNA SHOW YA JANA TAR 18-6-2015 HII HAPA..!!
June 19, 2015
No comments
Watu 25 wafa kwa kunywa gongo India..!!!
June 19, 2015
No comments
Chad yapiga marufuku vazi la hijabu…!!!!
June 19, 2015
No comments
Ikiwa jana waislamu katika maeneo mengi dunia wameanza mwezi mtufu wa ramadhani,nchini chad imetolewa amri ya mtu yoyote kutovaa vazi la hijabu.
Thursday 18 June 2015
Roboti kuchukua kazi za raia Australia…!!!
June 18, 2015
No comments
Sura ya mwanamke kuwa katika noti mpya……
June 18, 2015
No comments
Shambulio lafanyika Kanisa la Marekani…!!
June 18, 2015
No comments
Wednesday 17 June 2015
June 17, 2015
No comments
Je unakifahamu kiungo cha Giligilani? Usikose nakala yako ya gazeti la TABIBU kesho alhamisi likiwa limesheni habari kemkem kuhusu afya.
TABIBU michezo wiki hii.!!!Serikali ya muungano ya Palestina kujiuzulu...!!!
June 17, 2015
No comments
Rais wa mamlaka ya ndani ya Palestina Mahammud Abbas ametangaza kuwa serikali ya muungano aliyounda na Hamas mwaka jana itajiuzulu.
Abbas hakutangaza ni lini hasa hatua hiyo itachukuliwa lakini inatarajiwa hatua hiyo itatekelezwa katika kipindi cha saa ishirini na nne zijazo.
Abbas amesema uamuzi huo wa kuivunja serikali hiyo ya muungano ni kwa sababu Hamas haijairuhusu serikali kufanya kazi katika ukanda wa Gaza.
Serikali ya muungano kati ya tawi la kisiasa la Hamas na chama cha Fatah cha Abbas iliundwa mwezi Aprili mwaka jana kabla ya vita kati ya wanamgambo wa Hamas na Israel katika ukanda wa Gaza.
Hata hivyo serikali hiyo imekuwa haifanyi kazi vyema kutokana na malumbano ya jinsi ya kuujenga tena ukanda wa Gaza ulioharibiwa wakati wa vita vya mwaka jana na kuhusu masuala mengine.
Wanafunzi Somalia wafanya mtihani wa taifa baada ya miaka 25..!!!
June 17, 2015
No comments
China yaipa Takukuru vifaa vya bilioni 3….
June 17, 2015
No comments
Raia Nigeria wapinga posho za wabunge…!!!
June 17, 2015
No comments
|
Wananchi
wa Nigeria wamechukizwa na taarifa kwamba wabunge wamejiidhinishia mamilioni ya
dola kwa ajili ya posho ikiwemo ya mavazi. |
Tuesday 16 June 2015
Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa…!!
June 16, 2015
No comments
Askofu kushtakiwa kwa kudhulumu watoto…!!!
June 16, 2015
No comments
Unafahamu kwa nini kuna siku ya mtoto wa Africa…!!!
June 16, 2015
No comments
Tarehe 16 Juni ya kila mwaka Tanzania huungana na Nchi nyingine za Afrika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika.
Monday 15 June 2015
Kasisi basha aishtaki kanisa kumbagua…!!!
June 15, 2015
No comments
Sikiliza Antenna show ya radio 5 hapa.!!
June 15, 2015
No comments
Hii show inakwenda hewani kila siku za juma tatu mpaka ijuumaa saa kumi jioni mpaka kumi na mbili na nusu jioni.Bonyeza play hapa chini kuisikiliza show iliyoruka Tar 10-6-2015.
Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana…!!!
June 15, 2015
No comments
Mwanaume mmoja Muingereza mwenye umri wa miaka 103 ameingia
katika daftari za historia kwa kuwa bwana harusi mkongwe zaidi duniani.
Friday 12 June 2015
Mkurugenzi mkuu wa Twitter kujiuzulu...!!!
June 12, 2015
No comments
Mkurugenzi mkuu wa Twitter, Dick Costolo, ana nia ya kujiuzulu ifikapo mwisho wa mwezi huu wa Juni, kufuatia shinikizo kutoka kwa wawekezaji, ambao wanalalamikia ukuaji polepole wa mtandao huo wa kijamii.
Siku ya Albino kuazimishwa duniani kwa mara ya kwanza June 13-2015....
June 12, 2015
No comments
Ikiwa kesho ni maadhimisho ya kwanza kabisa ya siku ya kuhamasisha
jamii kuhusu haki ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino, kamishna Mkuu wa haki
za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Zeid Ra'ad Al Hussein,amesema ni fursa ya
kutambua vipaji adhimu walivyo navyo kundi hilo.