Wednesday, 8 February 2017

VIDEO: SIRRO AELEZA HATMA YA WEMA SEPETU

Wema Sepetu bado anaendelea kushikiliwa na polisi jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za dawa za kulevya ambapo jana baadhi ya watuhumiwa wenzake walifikishwa mahakamani
na kuachiwa kwa dhamana. Leo February 8, 2017 Kamanda wa Polisi wa Kanda maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kuwa jeshi lake bado linamshikilia Wema na wenzake saba ambao walikamatwa na vielelezo na kuwa jalada lao limepelekwa kwa wakili wa selikali alipitie ili aone ushahidi uliopo pamoja na kupata majibu kutoka kwa mkemia mkuu wa selikali kubaini kama kweli ni mtuamiji wa madawa ya kulevya.

Related Posts:

  • UTAFITI:UNENE UNAUA MAPEMA…!!   Utafiti wa kimataifa umegundua kuwa kunenepa kunahusiana moja kwa moja na visa vya watu kufa mapema, huku wanaume wakiwa katika uwezekano mara tatu wa kufariki zaidi ya wanawake. Kwa kutumia data kutoka takriban … Read More
  • LIL WAYNE ASTAAFU MUZIKI… Lil Wayne ametangaza kwamba amestaafu kutoka kwenye tasnia ya muziki. Aliandika kwenye Twitter: "Sasa sijiwezi tena, haka kiakili, na naondoka kwa staha na nashukuru mashabiki wangu." Hata hivyo, hajafafanua iwapo ataa… Read More
  • 2016 WAELEKEA KUWA MWAKA WENYE JOTO KALI KUWAHI KUREKODIWA..! Mwaka huu wa 2016 huenda ukawa ndio wenye joto kali zaidi kuwahi kurekodiwa, kufuatia hali ya joto duniani kuweka rekodi mpya ya viwango vya nyuzi joto katika miezi sita ya kwanza. Hayo ni kwa mujibu wa Shirika la Hali y… Read More
  • PANYA SASA KUTUMIA UZAZI WA MPANGO…! Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), kimepata suluhisho la kupunguza kuzaliana panya nchini kwa kuanzisha uzazi wa mpango kwa wanyama hao. Akizungumza na waandishi jijini Dar es Salaam Mtaalamu wa Kilimo w… Read More
  • TANZANIA KINARA WA SOKO LA SIMU AFRIKA… Ripoti ya mwaka 2016 ya Uchumi wa Simu za Mikononi Afrika inasema kuwa, Tanzania ni miongoni mwa nchi nane Afrika zenye soko kubwa la simu za mikononi. Ripoti hiyo iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam jana kwenye mk… Read More

0 comments:

Post a Comment