Tuesday, 14 February 2017

WATU 80 MBARONI KWA DAWA ZA KULEVYA ARUSHA…

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha, limenasa watuhumiwa 80 wanaojihusisha na mtandao wa dawa za kulevya, akiwemo askari Polisi mmoja mwenye namba 6978 Koplo zakayo ambaye anashikiliwa kwa mahojiano.


Akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha Charles Mkumbo, amesema askari huyo amekamatwa kwa sababu ya kubambikizia watu bangi, na kuanza kuwatisha ili apate rushwa kitendo ambaho kinyume cha sharia.

Mkumbo amesema katika msako wa dawa za kulevya, hakuna mtu atakayebaki salama hata kama ni askari.
Amesema watuhumiwa hao wamekamatwa ndani ya mwezi huu, walipoanza msako wa madawa ya kulevya katika maeneo mbalimbali ya Wilaya zake na Mkoa wa Arusha.

Related Posts:

  • HII NDIO NCHI INAYOONGOZA KWA WATU WAKE KUWA NA HIV..! Marekani imeiahidi Afrika Kusini msaada wa dola milioni 410, katika vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi. Afrika Kusini ina idadi kubwa zaidi ya watu wanaoishi na virusi vya HIV duniani. Msaada huo wa Marekani utasaidia kati… Read More
  • MAJAJI WAJINOA MAHAKAMA YA UFISADI…!! Jaji Mkuu wa tanzania Mohamed Chande amesema kuwa, jopo la majaji linatarajiwa kuingia darasani ili kujifunza sheria mpya ya kuendesha kesi za ufisadi.  Kesi hizo zitakuwa zinaendeshwa katika Mahakama Kuu Kite… Read More
  • MUSEVENI ASIMAMISHA MSAFARA WAKE KUPOKEA SIMU…!! Rais wa Uganda bwana Yoweri Kaguta Museveni, amezua kihoja katika kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha msafara wake wa magari iliapokee simu faraghani. Amini usiamini Rais Yoweri Museveni a… Read More
  • MAMIA KUPIGWA PICHA ZA UTUPU UINGEREZA Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza. Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni. Washiriki watapakwa rangi ya samawati … Read More
  • MJI WA MADINA WASHAMBULIWA…!! Mshambuliaji mmoja wa kujitoa mhanga, amejilipua katikati ya Jiji la Media jirani na Msikiti wa Mtume. Jiji la Medina ni miongoni mwa miji mitakatifu, kwa mujibu wa Imani za dini ya Kiislamu. Kituo cha Televisheni… Read More

0 comments:

Post a Comment