Wednesday, 1 February 2017

BUNGE LAPITISHA MSWADA WA SHERIA YA MSAADA WA KISHERIA 2016…

Bunge la jamhuri ya muungano wa TANZANIA limepitisha muswada wa sheria ya msaada wa kisheria.

Bunge la jamhuri ya muungano wa TANZANIA limepitisha muswada wa sheria ya  msaada wa kisheria wa mwaka 2016.
Akiwasilisha muswada huo bungeni mjini DODODMA Waziri wa Katiba na Sheria HARRISON MWAKYEMBE amesema sheria hiyo inakwenda kumaliza kilio cha muda mrefu cha wananchi wasiokuwa na uwezo wa kumudu gharama za mawakili katika kuitafuta haki.

Kwa upande wa wabunge wamesema kupitishwa kwa muswada huo kutakuwa suluhisho kwa wale ambao wameonewa kwa kukosa msaada wa kisher

Related Posts:

  • UFARANSA YACHANGIA EURO 250,000 KUSAIDIA WAKIMBIZI TANZANIA…… Msaada wa fedha kwa wakimbizi unawawezesha kujikwamua kiuchumi Serikali ya Ufaransa imechangia kiasi cha Euro 250,000 kwa shirika la mpango wa chakula duniani, WFP ili wakimbizi nchini Tanzania waweze kupata msaada zaidi… Read More
  • BAVICHA WATOA NENO KWA WATEULE WA JPM… Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) limetoa wito kwa wateule wa JPM wakuu wa mikoa wakiwemo wakuu wa Wilaya kupatiwa semina elekezi ili wajifunze mifumo na utendaji wa utumishi wa umma kwa madai kuwa wengi wao hutumia v… Read More
  • TCRA YAZITAHADHARISHA KAMPUNI ZA SIMU…. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imezitaka kampuni za simu za mikononi nchini, kusitisha matangazo wakati wateja wanapiga simu vinginevyo wataadhibiwa. Akizungumza jijini hapa leo Alhamisi Mkurugenzi Mkuu wa TCRA M… Read More
  • RUGEMARILA NA BOSI WA IPTL WAONGEZEWA MASHTAKA 6…. Mkurugenzi wa kampuni ya VIP Engeneering na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira (kushoto) na Habinder Seth Sigh (kulia) Mwenyekiti Mtendaji wa PAP. Mkurugenzi wa kampuni ya VIP Engeneering na mmiliki mwenz… Read More
  • SIRRO: DAWA YA MOTO NI MOTO……… Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro,amesema wanaotekeleza mauaji dhidi ya raia katika eneo la Kibiti mkoani Pwani wametumwa vibaya, na wao watapelekwa vibaya vibaya. Sirro alisema hayo jana Dar es Salaam kabla ya k… Read More

0 comments:

Post a Comment