Sunday 26 February 2017

WAVUTAJI MBEYA WALALAMIKA BANGI KUADIMIKA MTAANI (AUDIO)

Wavutaji mkoani Mbeya wamelalamika bangi kuadimika mtaani tangu vita dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya ishike kasi nchi nzima. Mmoja wa wavutaji mashuhuri wa mmea huo ambaye amedai kuanza kuvuta akiwa na darasa la 6, amedai kuwa ili kuipata inawalazimu kwenda nje ya mji kwakuwa wauzaji wakubwa wamekimbia mjini. Msikilize zaidi hapo chini.

0 comments:

Post a Comment