Sunday, 26 February 2017

WAVUTAJI MBEYA WALALAMIKA BANGI KUADIMIKA MTAANI (AUDIO)

Wavutaji mkoani Mbeya wamelalamika bangi kuadimika mtaani tangu vita dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya ishike kasi nchi nzima. Mmoja wa wavutaji mashuhuri wa mmea huo ambaye amedai kuanza kuvuta akiwa na darasa la 6, amedai kuwa ili kuipata inawalazimu kwenda nje ya mji kwakuwa wauzaji wakubwa wamekimbia mjini. Msikilize zaidi hapo chini.

Related Posts:

  • NEW JOINT:KAA TAYARI-ROMA FT JOSE MTAMBO & DARASA Ngoma mpya ya Roma Mkatoliki amewashirikisha Jos Mtambo na Darassa,Imetayarishwa na J-Ryder katika studio za Tongwe. Unaweza kuisikiliza kwa kubonyeza kitufe cha Play hapo chini. … Read More
  • PANYA SASA KUTUMIA UZAZI WA MPANGO…! Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), kimepata suluhisho la kupunguza kuzaliana panya nchini kwa kuanzisha uzazi wa mpango kwa wanyama hao. Akizungumza na waandishi jijini Dar es Salaam Mtaalamu wa Kilimo w… Read More
  • UNENE WA KUPITA KIASI……! Utafiti wa mmoja kiafya duniani umeonyesha ongezeko la asilimia 82 la watu wanene kupita kiasi kati ya mwaka wa 1990 na 2010, likasema jarida la tiba la Uingereza, ‘The Lancet’, Volume 387, la Aprili 2, 2016 Vifo v… Read More
  • UTAFITI:UNENE UNAUA MAPEMA…!!   Utafiti wa kimataifa umegundua kuwa kunenepa kunahusiana moja kwa moja na visa vya watu kufa mapema, huku wanaume wakiwa katika uwezekano mara tatu wa kufariki zaidi ya wanawake. Kwa kutumia data kutoka takriban … Read More
  • UNYONYAJI KIDOLE UNAFAIDA KWA WATOTO- UTAFITI Ripoti mpya inasema watoto wanaonyonya vidole au kung'ata kucha zao kwa meno huenda wasipate matatizo ya kuathirika kutokana na mazingira hewa au kula vyakula fulani. Kwa mujibu wa waandishi katika jarida la Pedi… Read More

0 comments:

Post a Comment