Askofu Josephat
Gwajima Alhamis hii amezijibu tuhuma za kujihusisha kwenye biashara ya madawa
ya kulevya baada ya kutajwa kwenye orodha ya pili ya mkuu wa mkoa wa Dar es
Salaam, Paul Makonda.
Alikuwa akizungumza
mbele ya waumini na waandishi wa habari, kanisani kwake,tizama videi hapo chini
kile alichokisema.
VIDEO:POLISI WAZUNGUMZA KUHUSU KULIPULIWA OFISI ZA MAWAKILI…
Kufutaia tukio la kulipuliwa kwa
ofisi za immma advocates, ambazo inaelezwa kuwa hutumiwa pia na wakili fatma
karume.
jeshi la polisi kanda maalumu ya
dar es salaam, leo limetoa taarifa kuhusu kulipuliwa kwa ofisi hiz…Read More
LIVE: KESI YA UCHAGUZI KENYA..
Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika hivi karibuni huko nchni kenya,inaendelea kusikiliwa katika mahakama nchini humo
…Read More
0 comments:
Post a Comment