Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaDkt. John Pombe Magufuli, February 08 2017 amefanya ziara ya kushtukiza
katika mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Jijini Dar es Salaam Terminal 3.
MAJAJI WAJINOA MAHAKAMA YA UFISADI…!!
Jaji Mkuu wa tanzania Mohamed
Chande amesema kuwa, jopo la majaji linatarajiwa kuingia darasani ili
kujifunza
sheria mpya ya kuendesha kesi za ufisadi.
Kesi
hizo zitakuwa zinaendeshwa katika Mahakama Kuu Kite…Read More
MAHARUSI WAFUNGA NDOA KWA KUTUMIA DOLA MOJA KENYA
Ushawahi kuona
sherehe ya harusi isiyo na burudani wala mapochopocho na gharama husika haizidi
dola moja?
Basi wiki hii, Wakenya, Wilson Mutura na Ann
walitumia shilingi mia moja au dola moja tu kufunga ndoa.
Dola yeny…Read More
MUME AMKATA MKE WAKE MASIKIO…
Mwanamke mmoja
aliyefahamika kwa jina la Zarina mkazi wa mji wa Balkh Afghanistan, amekatwa
masikio na mume wake kwa madai kuwa mume wake amemchoka na hataki kuishi nae.
Akielezea tukio hilo la kikatili Zarina alisema a…Read More
0 comments:
Post a Comment