This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Sunday 30 April 2017

RAIS DONALD TRUMP AADHIMISHA SIKU 100 KWA KUSHAMBULIA WANAHABARI

Rais wa Marekani Donald Trump ameadhimisha siku mia moja uongozini kwa kutoa hotuba ya kushambulia wanahabari na kutetea mafanikio yake.

UTAFITI: KERENGENDE WA KIKE ''HUJIUWA'' ILI KUKWEPA TENDO LA NGONO..

Utafiti mpya umebaini kwamba kerengende wa kike huwa anajifanya kuwa amekufa ili kukwepa wenzao wa kiume.

MANUWARI ZA CHINA ZAWASILI UFILIPINO..

Manuwari za Uchina zimewasili Ufilipino kwa mara ya kwanza baada ya miaka saba huku Ufilipino ikiimarisha uhusiano wake na Uchina.

Tuesday 25 April 2017

VIDEO: MELI YA KIJESHI YA MAREKANI YAWASILI KOREA KUSINI

Hali ya wasiwasi imeendelea kutanda kutokana na majibizano makali na vitisho kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ambapo meli ya jeshi la Marekani (USS Michigan) imewasili katika Korea Kusini huku hofu ikiongezeka zaidi kuhusu uwezekano wa Korea Kaskazini kufanya jaribio jingine la kombora au silaha za nyuklia.

Sunday 23 April 2017

UFARANSA NAMCHAGUA RAIS MPYA..

 
Raia wa Ufaransa wanapiga kura ya urais hivi leo.
Kwa mara ya kwanza baada ya miongo kadhaa , huu umekuwa uchaguzi usiotabirika.

MWANDISHI MAARUFU KUKI GALLMANN APIGWA RISASI NA KUJERUHIWA KENYA

Watu waliojihami na bunduki wamempiga risasi na kumjeruhi mwanamazingira na mwandishi mzoefu mzaliwa wa Italia, Kuki Gallmann.

HUYU ANASHIKILIA REKODI YA DUNIA KWA KUTANUA MDOMO WAKE….



F
Francisco Domingo kutoka Angola ndie mwanadamu anaeshikilia rekodi ya kuwa na uwezo wa kutanua mdomo wake hadi kufikia upana wa inchi 6.69.

Ameshikilia rekodi hii tangu mwaka 2010 hadi sasa hakuna mwanadamu mwingine aliyefanikiwa kuvunja rekodi yake. 

Domingo amejikuta akiweza kutanua kinywa chake kwa ukubwa huo kutokana na matatizo ya kiafya aliyonayo.

Thursday 13 April 2017

AKAMATWA KWA KUMTALIKI MKEWE KUPITIA KADI YA POSTA.




Mwanamume wa kihindi alikamatwa kwa madai ya unyanyasaji na udanganyifu katika ndoa baada ya kumpa talaka mke wake kwa kumtumia ujumbe kwenye kadi ya posta.

VIDEO: NEC YATOA UFAFANUZI WA HATMA YA NAFASI ILIYOACHWA NA SOPHIA SIMBA



 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeutaarifu Umma juu ya kuendelea na taratibu za kujaza nafasi

OMBI LA KUTAKA KUHALALISHA BANGI KENYA LAUNGWA MKONO



 
Zaidi ya Wakenya 1,400 wanaunga mkono ombi la kutaka kuidhinishwa kwa matumizi ya mmea wa bangi baada anayewasilisha hoja hiyo kuwawasilisha ombi lake mbele ya bunge la seneti.

Monday 10 April 2017

MWANAMUZIKI AJITOSA BAHARINI KUKWEPA KULIPA BILI YA CHAKULA.


Mwanamume mmoja raia wa Australia ambaye alikuwa na bili kubwa ya kulipa baada ya kupata mlo kwenye mkahawa mmoja aliruka na kuingia baharini ili kukwepa kulipa bili hiyo.

Sunday 9 April 2017

UNYEVU UMEGUNDULIWA NA WANASAYANSI KATIKA SAYARI ILIO SAWA NA DUNIA..

Wanasayansi wanasema kwa mara ya kwanza wamegundua kuna unyevu unaoizunguka sayari ilio kama dunia.

MBARONI KWA KWA UBAKAJI…

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Samweli Masumbuko (32), Mkazi wa Kata ya Mahina wilayani Nyamagana, kwa tuhuma za kumbaka  mwanafunzi wa darasa la pili (jina linahifadhiwa) mwenye

MBOWE NA MDEE WASEMA WALICHOHOJIWA KWA SAA MBILI.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), jana wamehojiwa na Kamati ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge kwa muda wa saa mbili – saa moja kila mmoja.

VIDEO: HAYA NDIYO MANENO YA ROMA BAADA YA KUPATIKANA.


Msanii wa muziki wa hip hop Roma Mkatoliki, Moni pamoja na wenzao 2 wameachiwa na jeshi la polisi baada ya kuhojiwa na kufanyiwa vipimo.

VIDEO: PAUL MAKONDA ALIVYOAHIDI MSANII ROMA ATAPATIKANA KABLA YA JUMAPILI….

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, ameahidi Roma Mkatoliki, Moni pamoja na wengine wawili watapatikana Jumapili hii baada ya wasanii hao kutekwa na watu wasiojulikana Jumatano hii wakiwa Tongwe Record.

Alisema hayo akiwa nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam, muda mchache baada ya kutembelewa na wasanii ambao walimtaka mkuu huyo kuwasaidia kupatikana kwa wasanii hao.


Akiongea na waandishi mbele ya wasanii hao, RC Makonda alisema kila mtanzania ana nafasi ya kumtafuta Roma na wenzake kwa kuwa hakuna anayejua watu hao wako wapi.

NAPE AMWOMBA RAIS MAGUFULI KUUNDA TUME…..

Aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

MLIPUKO WAWAUA WATU 13 KANISANI MISRI..

Takriban watu13 wameuwa kwenye mlipuko uliotokea katika kanisa moja kaskazni mwa Misri.

ABIRIA AJIFUNGUA MTOTO NDANI YA NDEGE…

Wahudumua wa ndege ya shirika la ndege la Uturuki, walisherehekea kuwasili kwa abiria mwingine angani umbali ya futi 42,000 au mita 12,800, wakati mwanamke mmoja alijifungua mtoto msichana.

Monday 3 April 2017

MWANAMUME ATAMIA MAYAI YA KUKU….

Msanii kutoka Ufaransa Abraham Poincheval anaendelea kutamia mayai ya kuku akiwa na matumaini kwamba mwishowe yataangua vifaranga.

WATOTO WAZUIWA KWENDA SHULE KUHOFIA KUPATA MIMBA

Kutokana na tatizo la upungufu wa walimu katika Shule ya Msingi Mbalawala Manispaa ya Dodoma,

UTAFITI: MANYANYASO HUSABABISHA MTOTO KUPEVUKA MAPEMA

Wataalamu wa Saikolojia kutoka Chuo Kikuu cha Penn State Marekani, wamegundua jambo ambalo linawashangaza wengi katika swala la malezi kwa watoto.

Sunday 2 April 2017

VIGOGO WALIOFICHA MALI KUPIGWA KITANZI.....

Hofu kubwa inazidi kutanda kwa baadhi ya vigogo na viongozi wa umma juu ya mpango mpya ulioanzishwa na Serikali wa kuhakiki mali zao.

WATU 20 WAUWAWA KWA KUNYWESHWA SUMU MADHABAHUNI PAKISTAN.

Takriban watu 20 wameuawa na wengine kujeruhwia kwenye madhababu yaliyo mji wa Sargoda, mkoa wa Punjab nchini Pakistan.

WATU 250 WAANGAMIA KWENYE MAPOROMOKO..

Mamlaka ya jeshi la Colombia inasema idadi ya waliofariki katika maporomoko ya ardhi nchini humo imefikia watu 250 huku waliojeruhiwa wakiwa 400.

Saturday 1 April 2017

UTAFITI: UKIOGA KWA MAJI YA MOTO NI MAZOEZI TOSHA....

Watu wengi hupendelea kuoga kwa maji ya moto ili kuepusha maradhi ya kifua wakati wa msimu wa

IDADI YA WASIO NA CHAKULA DUNIANI YAONGEZEKA- RIPOTI

Ripoti mpya kuhusu hali ya janga la chakula duniani imesema idadi ya watu wasio na uhakika wa kupata chakula iliongezeka mwaka jana na kufikia watu milioni 108,

AFRIKA KUSINI YAPATA WAZIRI MPYA WA FEDHA...

Waziri wa Fedha mpya wa Afrika Kusini, Malusi Gigaba, amesema wakati umefika wa kubadilisha sana uchumi.

NEW VIDEO: BIBI CHEKA-NALIA

Msanii Bibi Cheka baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu huu ndio ujuo wake tena ameachia hii video mpya wimbo unaitwa “Nalia”, video imeongozwa na Josh.tizama video hapo chini.

PETER LIJUALIKALI ASIMULIA MATESO YA MAGEREZA…

Mbunge wa Jimbo la Kilombero (Chadema) Peter Lijualikali, amesema licha ya mateso makali aliyoyapata akiwa gerezani, amefurahia kifungo hicho kwani kimempa heshima kubwa huku akisema ni kama amepata shahada ya udaktari (Phd).

RAIS MAGUFULI ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA MSIBA WA MBUNGE ELLY MACHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kufuatia kifo cha mbunge wa viti Maalum, Bi Elly Macha kilichotokea Ijumaa hii nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.

RAIS MAGUFULI AIPASUA KICHWA TANESCO……

Ziara ya Waziri Mkuu wa Ethiopia hapa nchini imetoa changamoto kubwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano kuliagiza Shirika hilo kuweka mikakati madhubuti ya kuzalisha na kuuza umeme kwa bei nafuu.

CHINA YAPIGA MARUFUKU KUFUGA NDEVU..

Sheria mpya zitaanza kutekelezwa katika jimbo la magharibi mwa Uchina la Xinjiang, ambako utawala wa Beijing unaaendeleza kile wanachokisema ni kuzuia ueneaji wa itikadi kali.

MSUSI MWENYE UMRI WA MIAKA 93 ASTAAFU...

Msusi mmoja amestaafu baada ya kufanya kazi kwenye duka moja la urembo kwa miaka jumla ya 72.