Utafiti mpya umebaini kwamba
kerengende wa kike huwa anajifanya kuwa amekufa ili kukwepa wenzao wa kiume.
Rassim
Khelifa, kutoka chuo kikuu cha Zurich Switzerland, anasema kwamba aliona
kerengende wa kike aliyekuwa akifuatwa na wa kiume ili kufanya mapenzi,
akijiangusha na kulala kana kwamba amefariki, hadi pale kerengende wa kiume
alipoondoka.
Ripoti
hiyo imechapishwa kwenye jarida la ikolojia.
Bwana
Khelifa amsema kuwa kerengende wa kike hunyanyaswa kwa sababu huwa hawana
ulinzi baada ya kutaga mayai ikilinganishwa na kerengende wengine.
0 comments:
Post a Comment