Saturday 1 April 2017

RAIS MAGUFULI ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA MSIBA WA MBUNGE ELLY MACHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kufuatia kifo cha mbunge wa viti Maalum, Bi Elly Macha kilichotokea Ijumaa hii nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.

SOMAA TAARIFA TOKA IKULU HAPO CHINI

0 comments:

Post a Comment