Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kufuatia kifo cha
mbunge wa viti Maalum, Bi Elly Macha kilichotokea Ijumaa hii nchini Uingereza
alipokuwa akipatiwa matibabu.
SOMAA TAARIFA TOKA IKULU HAPO CHINI
0 comments:
Post a Comment