This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday 29 March 2017

FIRST LADY WA ZAMANI WA IVORY COAST AACHIWA HURU….

Mahakama nchini Ivory Coast imemwachia huru first lady wa zamani Simone Gbagbo, aliyekuwa amefungwa kwa makosa dhidi ya ubinadamu.

CANADA KUHALALISHA BANGI IFIKAPO MWAKA UJAO…

Matumizi ya bengi kwa kujiburudisha yatahalalishwa nchini Canada ifikapo tarehe mosi Julai mwaka 2018.

RIPOTI YA FARU JOHN KUWANG’OA VIGOGO WAWILI…..

Kamati iliyoundwa kuchunguza utaratibu uliotumika kumhamisha Faru John kutoka hifadhi ya Ngorongoro kwenda Sasakwa Black Rhino Sanctuary iliyopo kwenye Hifadhi ya Grumeti Serengeti, imependekeza hatua za kinidhamu dhidi ya maofisa wawili wa Serikali waliohusika na uahamishwaji wa mnyama huyo.

ABIRIA 141 WANUSURIKA BAADA YA NDEGE KUWAKA MOTO....

Takribani abiria 141 wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuwaka moto.

Wednesday 15 March 2017

ASILIMIA 34 YA WATOTO HAWANYWI MAZIWA

Asilimia 34 ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano wana tatizo la udumavu kutokana na kutokunywa maziwa na kukosa vyakula vyenye virutubisho vya kutosha.

WATU WALIO NA WATOTO HUISHI MIAKA MINGI KULIKO WALE WASIONAO

Kuwa na watoto inaweza kuchangia mtu kuishi miaka mingi, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa.

Manufaa ya kuwa na watoto huonekana hata wakati watu wanapotimia umri wa miaka 80 na zaidi.

MAGUNIA 5 YALIYOJAA PESA YAGUNDULIWA UWANJA WA NDEGE

Maafisa wa serikali nchini Nigeria wanasema magunia matano yaliyokuwa na mabunda ya noti, yamegunduliwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kaduna.

Monday 13 March 2017

ZIPO SIRI SABA ZA KUISHI MIAKA 100 NA ZAIDI…..

Kuishi karne moja au zaidi duniani ni mafanikio makubwa katika maisha ya binadamu.

Sunday 12 March 2017

VIDEOMPYA: MAUA SAMA ANATUALIKA KUITAZAMA HII MPYA INAITWA ‘MAIN CHICK’.

Kiwanda cha Bongofleva kinazidi kutupa madini mapya kila siku,Leo March 11 2017 ni zamu ya Maua Sama ambaye ametuletea video yake mpya inaitwa ‘Main Chick’.Unaweza kuitazama hapa chini 

Saturday 11 March 2017

SERA YA FAMILIA KUWA NA WATOTO 2 YALETA MABADILIKO CHINA....

Uchina inasema uamuzi wake wa kuruhusu familia kuwa na watoto wawili badala ya mmoja tu, umeleta mabadiliko thabiti.

GARI LAANGUKA KATIKA PAA LA NYUMBA CHINA...

Gari moja lilipoteza mwelekeo katika mji wa Taizhou uliopo mashariki mwa China, kuteleza barabarani na kuanguka katika paa la nyumba.

VIDEO MPYA: HAMORAPA FT NATURE -KIBOKO YA MABISHOO

Kutoka kwenye kiwanda cha mziki wa Bongofleva  leo March 11 2016 Hamorapa ametuletea video ya mdundo wake mpya ‘Kiboko ya mabisho‘ ambao amemshirikisha mkali wa longtime kwenye game ya Bongofleva Juma Nature, kama utakuwa unazipenda video kutoka Bongoflevani unaweza kuicheki hapo chini.

VIDEOMPYA: CHEGE NA TEMBA WAMETULETEA HII MPYA INAITWA “GO DOWN”

Baada ya kukaa kimya muda mrefu bila kuachia ngoma ya pamoja, Chege Chigunda na Temba wametuletea hii single mpya waliyomshirikisha mwanadada Emmy inaitwa “Go Down”,

TANZANIA NI NCHI YA MWISHO ULAJI NYAMA A. MASHARIKI…

Pamoja na kwamba Tanzania ni moja ya nchi zenye mifugo mingi barani Afrika, watanzania wanakula nyama kwa kiwango kidogo ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika ya Mashariki.

MFANYIKAZI WA JELA AFUNGWA KWA KUWA NA UHUSIANO NA MFUNGWA…..

Mwalimu mmoja wa jela ambaye alimpiga busu mbali na kumtumia barua za mapenzi mfungwa aliyeua amefungwa kwa makosa ya ukosefu wa nidhamu katika afisi ya uma.

Thursday 9 March 2017

HILI NDIO CHIMBUKO LA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.....

Leo tarehe 8 Machi, 2017 dunia zima inaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, ambayo huadhimishwa kila mwaka kwa lengo la kutambua na kuthamini mchango wa mwanamke katika jamii. Chimbuko la kuanzishwa kwa Siku ya Wanawake lilianza mwanzoni mwa

Monday 6 March 2017

VIDEO: HARMORAPA AKUTANA NA PRO J NA KUMCHANIA MISTARI..


Rapper Harmorapa amekutana uso kwa uso na msanii mkongwe wa muziki wa hip hip ambaye pia ni mbunge wa Mikumi Joseph Haule aka Professor Jay na kumuonyesha mkongwe huyo kile anachokifanya kwenye muziki wa hip hop.

Sunday 5 March 2017

VIDEO: RAIS MAGUFULI ATOA SIKU 7 DANGOTE APEWE ENEO LA KUCHIMBA MAKAA YA MAWE

Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Nishati na Madini impe mfanyabiashara Aliko Dangote eneo la kuchimba makaa ya mawe na agizo hilo liwe limetekelezwa ndani ya siku saba kuanzia leo.

MGANGA WA JADI NA ASKOFU AKUTWA NA HATIA YA MAUAJI YA ALBINO AFRIKA KUSINI..

Nchini Afrika Kusini mganga wa jadi ambaye pia ni askofu wa kanisa amepatikana na hatia ya kuwa kinara wa mauaji ya albino, hatua ambayo imepongezwa na Umoja wa Mataifa. 

TUNZA SIKIO KAMA YAI KWANI LIKISHAHARIBIKA NDIO BASI- WHO

Zaidi ya asilimia tato ya watu wote duniani wanaishi na tatizo la kupoteza uwezo wa masikio kusikia, lakini kuzuia tatizo hilo ni rahisi kuliko kuitibu.

POMBE ZA VIROBA ZENYE THAMANI YA BILIONI 10.8 ZAKAMATWA DAR…….

Pombe kali zilizofungashwa katika vifungashio vya plastiki  maarufu kama ‘viroba’ zenye thamani ya shilingi Bilioni 10.8 zimekamatwa Jijini Dar es Salaam katika msako wa pombe hizo uliofanyika kuanzia Machi 01 mpaka 03, mwaka huu.

NECTA YAZIDI KUWABANA WALIOGHUSHI VYETI

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limeendelea kuwatangazia wananchi kuendelea kuwapa ushirikiano kwa kutoa taarifa mbalimbli ikiwemo taarifa kuhusu watumishi walioghushi au kutumia vyeti vya watu wengine.

BARAKAH DA PRINCE NA NAJ KUNANI….?

Barakah Da Prince alikaakitakona Mtangazaji wa ABM Radio ya Dodoma, DJ Rodger kuzungumzia status ya uhusiano wake na Naj.
Kwenye interview hiyo Barakah amedai kuwa bado mapenzi yao yapo moto moto ila wameamua kutopenda sana kupostiana kwenye mitandao ya kijamii kama zamani.
Ameongeza kuwa ukurasa wake wa Instagram sasa utaendelea kujikita katika kazi zake zaidi na sio mambo ya uhusiano. Msikilize zaidi hapo chini.

VIDEO: TIMBULO – MFUASI

Timbulo ameachia video ya wimbo wake Mfuasi. Wimbo umetayarishwa kwa ushirikiano wa Maximizer & Mr. T-Touch huku video ikiongozwa na Dr. Eddie wa Dreamland Music Entertainment ya Nairobi.

VIDEO: HERI MUZIKI-SWEET LOVE

Heri Muziki ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Sweet Love’. Video imeongozwa na Nick Dizzo.

MTI WENYE MIAKA 600 WAPATIKANA…….

Akiuzungumzia mti huo ambao unapatikana katika Kijiji cha Tema wilayani Moshi, mtafiti huyo amesema mti huo ambao ni mrefu kuliko yote barani Afrika una urefu wa mita 81.5 na uko katika eneo lililopo kwenye Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa).

VIDEO: RAIS MAGUFULI ALIVYOAGIZA MKANDARASI ANYANG’ANYWE PASSPORT.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemuagiza Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi kumnyang’anya Pasi (passport) ya Kusafiria Mkandarasi wa Mradi wa Maji wa Nga’pa hadi atakapomaliza Ujenzi wa mradi huo.

TRUMP AMSHUTUMU OBAMA KUMDUKUA…..

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema kuwa amegundua Rais mstaafu wa nchi hiyo ambaye ni mtangulizi wake, Barack Obama alikuwa akidukua simu yake mwezi mmoja kabla ya kuchaguliwa

NYUMBA YA ASKOFU GWAJIMA YAFANYIWA UPEKUZI….

Wakili wa Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na uzima, Askofu Josephati Gwajima,  Peter Kibatala amesema kuwa polisi wamefanya upekuzi kwa mara nyingine nyumbani kwa Askofu huyo.

NYANYA NDIO TUNDA NI MAARUFU ZAIDI DUNIANI..!

Ikiwa ungeulizwa kutaja tunda bora zaid duniani, labda nyanya haitakuwa akilini mwako.

NJAA YASABABISHA VIFO VYA ZAIDI YA WATU 100 SOMALIA...

Waziri mkuu wa Somalia Hassan ali Khaire, amesema watu mia moja na kumi wamefariki kutokana na visa vinavyo husiana na ukame na baa la njaa katika eneo la kusini mashariki mwa nchi hiyo, katika kipindi cha saa nane zilizopita.

Friday 3 March 2017

VIDEO: STAN BAKORA AKIMUIGIZA RC MAKONDA

Mchekeshaji Stan Bakora akimuigiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaja orodha ya wasanii 10 wa muziki ya uigizaji ambao wamekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu bila kuoa mabao yeye amewaita wahalifu.
Stan Bakora amewataka wasanii hao akutane nao ‘sentro’ kwa kile alichosema kuwa wanakosea kufanya hivyo,tizama video hapo chini.

JE, WAJUA KUWA USINGIZI HUSABABISHA UGONJWA WA KUNENEPA..?

Kulala kwa masaa mengi au kwa muda mfupi vinaweza kuchangia mtu kunenepa kupita kiasi

Thursday 2 March 2017

NEW JOINT: HARMORAPA FT NATURE-KIBOKO YA MABISHOO

Msanii mkongwe katika muziki wa bongo fleva, Juma Nature amembariki rapa anayechipukia Harmorapa na kuweza kufanya naye kazi chini ya producer T Touchez, iliyopewa jina la 'Kiboko ya Mabishoo'
Katika kazi hiyo ambayo tayari imeanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, Harmorapa amewachana baadhi ya mastaa akiwemo dansa  Mose Iyobo, na watu wengine ambao wamekuwa wakim-'diss' kuwa hajui muziki na kusema yeye hajali maneno yao machafu kwani yeye amekuja kutafuta pesa.
Mbali na Mose Iyobo Harmorapa amechana Jacquline Wolper, Aunty Ezekiel na watu wa WCB
Kwa upande wa Harmorapa jana alisema kuwa kwa sasa wanafanya video ya kazi hiyo na kusema wanategemea video ya ngoma hiyo kutoka siku za karibuni,isikilize hap chini.