This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday 27 September 2017

WANAWAKE RUHSA KUENDESHA MAGARI SAUDIA....

Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametoa idhini ya wanawake kuendesha magari, hii ikiwa ni kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa. Uamuzi huu umefikiwa kutokana na harakati za muda mrefu kwa makundi ya wanawake na haki za bindamu kushinikiza wanawake waruhusiwe kuendesha magari.

TEKSI NDEGE ISIOKUWA NA RUBANI YAZINDULIWA DUBAI…………

Dubai imefanya jaribio la teksi ya kwanza ya ndege isio na rubani ambayo wanatumaini itatumika kama chombo cha uchukuzi mijini.

MWANAMKE WA KWANZA MAREKANI AHITIMU MAFUNZO YA ‘UKOMANDO’ ARDHINI……..

Mwanamke wa Marekani ameweka historia na kuvunja mwiko baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuhitimu mafunzo ya kikosi maalum cha ‘Marine’ nchini humo ambayo yana uwiano na sehemu ya mafunzo ya ukomando yaliyojikita katika mapambano ya ardhini.

Thursday 7 September 2017

WATU WANNE WAUAWA KWA KUKATWA VICHWA KENYA….

Watu wanne wameuawa kwa kukatwa vichwa vyao katika eneo la Hindi kaunti ya Lamu, Kenya usiku wa kuamkia Jumatano.

KIPINDUPINDU CHAENEA KWA KASI NIGERIA…….

Umoja wa mataifa umesema kwamba ugonjwa wa kipindupindu umeendea kwa kasi kubwa katika kambi za makaazi ya watu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

UTAFITI: MBWA MWITU HUFANYA UAMUZI KWA KUPIGA CHAFYA...

Mbwa mwitu hufanya maamuzi yao kwa kupiga kura kupitia kupiga chafya kwa mujibu wa utafiti mpya.

Monday 4 September 2017

RUBANI WA JESHI AANGUKA KUTOKA KWENYE HELIKOPTA UBELGIJI……

Wanajeshi wa Ubelgiji wanamtafuta rubani wa helikopta ya jeshi ambaye alianguka kutoka kwa ndege hiyo wakati wa maonesho ya ndege za kivita.

VIDEO: KICHAKA-SAIDA KAROLI FT BELLE 9 & G NAKO..

Leo Septemba 4, 2017 Msanii wa nyimbo za asili nchini Tanzania, Saida Karoli aliyevuma kitambo, na kurudi tena kwa nguvu ya ajabu, ameachia video ya wimbo wake mpya wa ‘Kichaka’ ambapo katika wimbo huo amewashirikisha Belle 9 pamoja na G Nako.

NJIWA ALIYETUMIWA KUSAFIRISHA MIHADARATI APIGWA RISASI….

Polisi nchini Argentina wamempiga risasi njiwa ambaye alitumiwa kusafirisha mihadarati kwenda gereza moja nchini humo, kwa mujibu wa mamlaka za gereza.

MAHUJAJI 35 WAAGA DUNIA WAKIFANYA IBADA MAKKAH……

Katika Ibada ya Hijja inayofanyika kila mwaka na kutekelezwa na Waislamu nchini Saudi Arabia katika Msikiti Mkuu mji wa Makkah eneo takatifu, Mahujaji 35 wafariki dunia.

Friday 1 September 2017

TREANDING:UCHAGUZI WA URAIS KENYA WAFUTWA……

Mahakama ya juu nchini Kenya imebatilisha uchaguzi wa urais nchini humo baada ya kujiridhisha kuwa ulikuwa na kasoro nyingi zilizokiuka katiba na utawala wa sheria.