This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday 27 May 2016

MTOTO MZITO ZAIDI AZALIWA INDIA…!!!

Mwanamke mmoja nchini India amejifungua mtoto wa uzani wa kilo 6.8, ambaye madaktari

Monday 16 May 2016

WALIOTAPELI SH 62 BILIONI UINGEREZA WASAKWA DAR…

Shirika la Kimataifa la Polisi linawasaka raia wawili wa Scotland, wanaodaiwa kukimbilia Tanzania

Thursday 12 May 2016

RAIS WA BRAZIL DILMA ROUSSEFF ASIMAMISHWA KAZI…!!

Bunge la Seneti Brazil limepiga kura kuamua kuidhinisha kura ya kutokuwa na imani dhidi ya kiongozi wa taifa hilo Dilma Rousseff.

ITALIA YAHALALISHA NDOA ZA JINSIA MOJA..!!

Italia imekuwa mojawapo ya mataifa ya mwisho ya Magharibi,

UTAFITI:ASILIMIA 25 YA WANAWAKE WAJAWAZITO HUTOA MIMBA…!!

Mwanamke mmoja kati ya wanne waja wazito hutoa mimba kila mwaka, takwimu kutoka shirika la

MWANAMKE AFUTWA KAZI KWA KUTOVAA VIATU VYA JUU..!!

Karani mmoja wa kupokea wageni mjini London, alilazimika kurudi nyumbani baada ya kukataa

WALIMU WALIPWA VIFARANGA BADALA YA MSHAHARA..!!

Mji mmoja nchini Uzbekistan umekua ukiwapa waalimu wake kuku kama mshahara badala ya pesa.

Tuesday 10 May 2016

WANASAYANSI WAUNDA NGOZI KUZIBA UZEE…..

Wanasayansi wanadai kuunda aina ya ngozi inayoweza kubandikwa juu ya mwili wa mtu kupunguza muonekano wa mikunjo ya ngozi mwilini na ngozi inayopwaya chini ya macho kutokana na uzee.

MAMA AFICHUA PACHA WAKE WATANO AUSTRALIA…..!!

Mama mmoja raia wa Australia ametoa picha za mapacha watano aliowazaa mwezi Januari.

SERIKALI KUU MAREKANI YAISHTAKI NORTH CAROLINA….!!

Idara ya sheria nchini Marekani, imeifungulia mashtaka serikali ya jimbo la North Carolina

JAJI ASEMA UBAKAJI NI KAWAIDA KWA WANAUME WA AFRICA....!!

Jaji mmoja mzungu nchini Afrika Kusini ameshutumiwa vikali, baada ya kudaiwa kusema kwenye mitandao ya kijamii kwamba ubakaji ni kawaida kwa wanaume weusi.

Monday 9 May 2016

MIFUKO 800 YA SUKARI YAKAMATWA…!!

Mapambano  kati ya vyombo vya dola na wafanyabiashara wanaodaiwa kuficha sukari  yameendelea

ABIRIA 31 WA ETIHAD WANUSURIKA KIFO..!!

Watu 31 wamenusurika kifo baada a ndege ya Etihad EY 474 waliyokuwa wakisafiria kutoka Abu

Friday 6 May 2016

WATUMIAJI SIMU FEKI WAZIDI KUPUNGUA…

Kadri siku ya kuzima simu feki kote nchini inavyokaribia, imebainika kuwa wanaozitumia wanazidi kupungua nchini.

WAHUDUMU WA AFYA WATAKIWA KUNAWA MIKONO ILI KUPUNGUZA MAAMBUKIZI KWA WAGONJWA..!!

Shirika la afya duniani limewataka wahudumu wa afya kuimarisha usalama wa wagonjwa, kwa kuzingatia misingi ya usafi wa mikono ili kupunguza idadi ya maambukizi.

MADAKTARI WAPANDIKIZA VIUNGO VYA WENYE UKIMWI..!

Madaktari nchini Uingereza wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kupandikiza viungo vya watu wanaougua Ukimwi kwenye wagonjwa wanaougua Ukimwi.

Thursday 5 May 2016

NEW TRACK: MACHO KODO-YUYU WA MAMBO BAND

Kutokea katika kundi la Mambo Band la jijini Arusha kijana anafahamika kama Yuyu Nasssor,baada ya kumsikia kwenye nyimbo kadhaa za kundi hilo sasa ametoka na solo project.

HALI YA HATARI YATANGAZWA CANADA….

Gavana wa jimbo la Alberta nchini Canada, ametangaza hali ya hatari wakati moto mkubwa wa

ALIYEJARIBU KUUZA MWANAWE AHUKUMIWA MIAKA 5…!!

Mahakama moja nchini Afrika kusini imemhukumu mwanamke mmoja kifungo cha miaka 5, kwa

BANGI KUWATIBU WAGONJWA UJERUMANI…!!

Mahakama moja nchini Afrika kusini imemhukumu mwanamke mmoja kifungo cha miaka 5,kwa

Wednesday 4 May 2016

SERIKALI YAMFUNGIA SNURA, WIMBO WA CHURA…!!

Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo imefungia video na wimbo wa "chura" ulioimbwa na msanii Snura Mushi.

Tuesday 3 May 2016

UANDISHI WA HABARI KAZI HATARI DUNIANI..!!

Kazi ya uandishi wa habari inaendelea kuonekana ni ya hatari zaidi duniani, baada ya utafiti

WHATSAPP YAFUNGWA KWA SAA 72 BRAZIL..!

Hakimu mmoja nchini Brazili amefunga mawasiliano ya mtandano wa simu kwa njia ya whatsapp kwa saa 72.

Monday 2 May 2016

NGOMA MPYA YA P-MAN STAR.!!

P Man Star ni mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Mambo Band lenye maskani yake maeneo ya Sekei jijini Arusha.

TANZANIA NI NCHI YA PILI AFRIKA, AMBAYO UCHUMI WAKE UNAKUA KWA KASI…..

Shirika la fedha duniani IMF, limeitaja Tanzania kama nchi ya pili Afrika ambayo uchumi wake unakua kwa kasi.

WANAJESHI WA UINGEREZA WAWASILI SOMALIA…!!

Kikosi kidogo cha jeshi la Uingereza kimewasili nchini Somalia kusaidia wanajeshi wa muungano