This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
Friday 29 May 2015
Malori toka Tanzania yasababisha ajali 227 Zambia………….
May 29, 2015
No comments
Wakati Serikali na wadau wa usafiri wakiendelea kutafuta mwarobaini wa ajali nchini, imeelezwa kuwa malori ya Tanzania yamesababisha ajali 227 nchini Zambia kati ya Januari na Mei.
Wachina 15 mbaroni kwa kugushi....!!
May 29, 2015
No comments
Raia 15 wa China wamefunguliwa mashitaka nchini Marekani kwa tuhuma za udanganyifu wa matokeo na nyaraka za kitaaluma walizozitumia kujiunga na elimu ya juu nchini Marekani.
Thursday 28 May 2015
Pombe yasababisha kifo cha Mteja,Mhudumu ahukumiwa kifungo…….
May 28, 2015
No comments
Muhudumu mmoja wa baa amepatikana na hatia ya mauaji, baada ya kumpa mteja wake jumla ya vipimo 56 vya pombe na kisha akafa.
Marekani:Jeshi latuma Kimeta kimakosa.....
May 28, 2015
No comments
Wakili nchini Kenya kuwa mkwe wa Obama?
May 28, 2015
No comments
Taarifa kuwa wakili mmoja wa kenya amesema yuko tayari kutoa mahari kwa
mtoto wa raisi wa Marekani,Barrack Obama zimeenea duniani kote Felix
Kiprono amesema yuko tayari kutoa ng'ombe 50,kondoo 70 na mbuzi 30 kwa
ajili ya mahari ya mtoto wa Obama,Malia Obama.Hivyo anajiandaa
kuzungumzia swala hilo na baba wa mtoto huyo atakapo tembelea Kenya
,mwezi Julai.
Hospitali kulipa fidia ya Ujauzito………
May 28, 2015
No comments
Mahakama nchini Kenya imeamuru hospitali
maarufu kulipa faini ya dola zaidi ya elfu 48 kwa kushindwa kuzuia uzazi.
Wednesday 27 May 2015
May 27, 2015
No comments
Yajue maajabu ya viazi vyekundu. Usikose nakala ya gazeti la TABIBU kesho alhamisi lipo sokoni likiwa limesheheni habari kemkem za afya.
Gari za kijeshi zatumika kubeba maharusi…………
May 27, 2015
No comments
Wakala wa maandalizi ya Harusi mjini Moscow, wamewakodishia magari ya kivita ( Deraya) maharusi wapya ili yawasindikize kwenda kwenye sherehe yao badala ya kukodi gari ya kifahari aina ya limo,
Tuesday 26 May 2015
Utafiti:Uzito mkubwa ni hatari………
May 26, 2015
No comments
Kuwa na uzito mkubwa katika umri mdogo kunaweza
kusababisha ugonjwa wa saratani ya utumbo hapo baadae.
Huyu mzee wa miaka 180 anatamani kufa…….!!!!
May 26, 2015
No comments
Watu wengi duniani hapa hawapendi kusikia ama kutaka kujua ni siku gani atakufa, kwa kawaida ni kwamba kila mtu huwa anaogopa anaposikia taarifa zinazohusiana na kifo.
Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25..!!!
May 26, 2015
No comments
Monday 25 May 2015
Baada ya kutoka kifunguni Lowassa Afunguka!!!!
May 25, 2015
No comments
Wiki iliyomalizika story kubwa kwenye siasa za Tanzania ilikuwa kuhusiana na CCM kuwafungulia makada wake sita
Wednesday 20 May 2015
Nkurunziza ahairisha uchaguzi…!!
May 20, 2015
No comments
Rais wa Burundia Pierre Nkurunziza amehairisha
uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi.
Msemaji wa rais Willy Nyamitwe ameiambia shirika la habari la AFPJe wewe ni mnunuzi wa bidhaa za urembo. ?
May 20, 2015
No comments
Tahadhari.
Kinyesi cha panya na mkojo wa binadamu ni baadhi ya viungo vinavyotumika kutengeza bidhaa ghushi za urembo.
Kinyesi cha panya na mkojo wa binadamu ni baadhi ya viungo vinavyotumika kutengeza bidhaa ghushi za urembo.
Obama ajiunga na Twitter..!!
May 20, 2015
No comments
Magari milioni 34,kurejeshwa viwandani..!!!
May 20, 2015
No comments
Watinga kuchukua maiti wakivalia nguo za magunia……….
May 20, 2015
No comments
Ilikuwa ni kama kutekeleza maandiko ya Biblia yanayosema “jifungeni nguo za
magunia, ombolezeni na kulia kwa uchungu”, wakati ndugu walipokwenda Hospitali
ya Rufaa ya KCMC kuchukua mwili wa marehemu.
ANTENNA SHOW YA J4 MAY 19 2015 RADIO 5..
May 20, 2015
No comments
Sikiliza kipindi chako bomba cha Antenna kila juma tatu mpaka ijumaa kuanzia saa kumi jion mpaka kumi na mbili na nusu jioni,kwa habari,mijadala,michezo buradini n.k.
Ungana na Team Antenna Kiwa strong,wnde mpembwa na Dj Ibra katika show hii haliiiiiii..!!!
Bonyesha play hapa chini kusikiliza kiduchu show ya jana ilivyokwenda kwa hewaaaaa.
Ungana na Team Antenna Kiwa strong,wnde mpembwa na Dj Ibra katika show hii haliiiiiii..!!!
Bonyesha play hapa chini kusikiliza kiduchu show ya jana ilivyokwenda kwa hewaaaaa.
Tuesday 19 May 2015
Misri mashakani kwa unyanyasaji wa kijinsia...!!!
May 19, 2015
No comments
Wanawake Rombo wakodi wanaume Kenya.....!!!
May 19, 2015
No comments
Mkuu wa Wilaya ya Rombo Lembris Kipuyo, amesema tatizo la ulevi kupindukia Wilayani humo limewaathiri wanaume kiafya na kuwataka watendaji kulivalia njuga.
Utafiti: Kuhusu majina yanayopenda Michepuko…..
May 19, 2015
No comments
KAMA ULIMISS KUSIKILIZA ANTENNA SHOW JANA J3 NIMEKUWEKEA HAPA!!!
May 19, 2015
No comments
Kipindi hiki kinaruka katika siku Tano za wiki juma tatu mpaka Ijuma kuanzia saa kumi jioni mpaka saa kumi na mbili na nusu,kikiwa na habari,matukio,mahojiano,utabiri wa hali ya hewa,michezo na muziki mzuri.
Vyote hivyo vinafikishwa kwenye spika yako na Team Antenna Kiwa Strong,Wende Mpembwa na Dj Ibra.
Bonyeza hapa chini kuisikiliza show ya jana Juma tatu tar 17-5-2015.
Muuguzi awaua wagonjwa wake Uingereza..
May 19, 2015
No comments
Muuguzi mmoja amehukumiwa kwa makosa ya kuwaua
wagonjwa wake wawili na kuwapa wengine 20 sumu katika hospitali ya Greater
Manchester.
Monday 18 May 2015
Hii hapa List ya washindi wote wa BillboardAwards2015.
May 18, 2015
No comments
Billboard Music Awards 2015 ndio habari kubwa kwenye headlines za burudani Marekani kuanzia jana tarehe May 17 2015.
Sherehe ya Tuzo hizo kubwa kwenye muziki zimefanyika ukumbi wa Grand Garden Arena, Las Vegas.
Utafiti:Mazoezi yatakuongezea miaka 5 zaidi..!!
May 18, 2015
No comments
Utafiti umeonesha kuwa watu
wanaofanya mazoezi ya kila mara wanaishi kwa miaka mitano zaidi ya wale
ambao hawafanyi mazoezi yeyote.
Friday 15 May 2015
New AUDIO | NAY WAMITEGO Ft. DIAMOND PLATNUMZ-MAPENZI au PESA | Download/Listen
May 15, 2015
No comments
Nimekuwekea hapa mkwaju mpya wa kijana wa Manzese Ney wa mitego akiwa na Diamond etiii nikuulize swali wewe waonaje ni Mapenzi au Pesa?
Bonyeza hapa chini kuisikiliza pia waweza kuishusha one love.
Muuguzi Tuhumani kwa kumtesa mtoto….!!
May 15, 2015
No comments
Utakumbuka vizuri kuhusiana na lile tukio lililotokea kule Nchini Uganda, la cha msichana wa kazi kumtesa mtoto wa bosi wake kwa kumpiga.
Jehi la Indonesia lawamani…!!!!!
May 15, 2015
No comments
Kikundi kimoja cha wanaharakati wa kutetea haki
za binaadamu nchini Indonesia,kimetoa wito kwa serikali ya nchi hiyo kuacha
mara moja zoezi la kukagua bikira
SIKILIZA MKASA WA KIJANA GEORGE..!
May 15, 2015
No comments
Mkwaju mpya wa J.Cold Huu hapa..!!
May 15, 2015
No comments
Kijana toka ukanda wa kaskazi mkoa wa Kilimanjaro,anafahamika kama January lakini katika sanaa ya muziki anafahamika kwa jina la J.Cold.
LOVE CUT NA SEMIO SONYO RADIO 5 Tar 14-5-2015
May 15, 2015
No comments
Kama uliimiss show ya LOVE CUT siku ya Alhamis usiku,nimekuwekea hapa ilikuwa ni Full Lovers Doze,ngoma nzuri za kimapenzi lakini pia Love Class ilihusika.
Hii hapa goma nyingine mpya ya Same Girls..!!!!
May 15, 2015
No comments
Vijana kutoka kanda ya kaskazini wakifanya mziki mzuri,sasa baada ya kuisikia record yao inayokwenda kwa jina la More Baby,
Thursday 14 May 2015
Kichanga cha siku tatu chatupwa……….
May 14, 2015
No comments
Mtoto mchanga wa kiume wa siku tatu katika mtaa wa Masanga Wilaya ya Igunga, ameokotwa akiwa amekatwa viungo vyake na watu wasiojulikana.
Breaking: Burundi watu wote ndani, Wanajeshi kwa Wanajeshi wanapambana.
May 14, 2015
No comments
Kutoka Bujumbura Burundi taarifa za sasa ni
kwamba raia wameamriwa kutotoka nje, milio ya risasi inasikika,
Wanajeshi watiifu wa Rais wanapambana na waliompindua.
SIKILIZA SHOW YA ANTENNA RADIO 5 YA TAR 13-5-2015
May 14, 2015
No comments
Show inakuwa hewani kila juma tatu mpaka ijumaa kuanzia saa kumi jioni mpaka kumi na mbili na nusu jioni,ndani ina vitu kibao habari mchanganyiko,matukio,burudani n.k
Nimekuwekea hapa chini show ya jana juma tano twene sawa.
Nimekuwekea hapa chini show ya jana juma tano twene sawa.
May 14, 2015
No comments
Zijue faida za Papai kwa afya na pia kama Tiba pata nakala yako ya gazeti la TABIBU wiki hii likiwa limesheheni habari za afya kwa bei ya sh. 500/= tu
TFF ,CRDB tuwaweke kilingeni watupe majibu. Usikose gazeti la TABIBU wiki hii kuna habari za kusisimua za michezo na burudani.
Wednesday 13 May 2015
Kiungo PSG akiri kuwa mwanamke..!!!!
May 13, 2015
No comments
UKISTAAJABU Musa, utayaona ya Filauni! Ndivyo unavyoweza kusema baada
ya kiungo wa kimataifa wa Italia, anayekipiga Paris Saint-Germain
(PSG), Marco Verratti kukiri kuwa yeye ni mwanamke.
Mkenya kunyongwa China…………..!
May 13, 2015
No comments
Mwanadada mwenye umri wa miaka 26 huenda akanyongwa baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa ya kulevya nchini china ambapo Mkenya huyu Floviance Owino,
Tuesday 12 May 2015
Monday 11 May 2015
Sheria ya makosa ya mitandao tayari imesainiwa na Rais…!!!!
May 11, 2015
No comments
Rais Jakaya Kikwete tayari ameshasaini sheria yenye utata ya makosa ya mtandao na muda wowote kuanzia sasa itaanza kutumika rasmi.
Korea Kaskazini yazindua Silaha kali…
May 11, 2015
No comments
Serikali ya Korea Kusini inasema inaamini kuwa
Korea Kaskazini,inaweza kumiliki nyambizi kadha za kufanya mashambulizi kutoka
baharini ndani ya miaka mitano ijayo.
Ajabu lakini kwelii: Riport ya Gari Zilizotembea miezi 8 bila dereva..!!!!!
May 11, 2015
No comments
Teknolojia imeendelea kusababisha kuonekana kwa maajabu mbali mbali Dunia,yakiwemo ya mambo ambayo kwa kufikiria kwa wepesi kabisa utaona hayawezekani lakini Teknilojia imeyafanya yawezekane.
Hizi ndizo story zilizoko kwenye Headlines leo May 11 TZ:
May 11, 2015
No comments
JWTZ
wanasubiri kupokea miili ya wanajeshi waliofariki DRC Congo, Waziri
Mkuu Pinda atakabidhiwa ripoti ya maafa ya mvua Dar leo, Kafulila ameapa
kuibua ishu ya ESCROW upya, anaituhumu Ikulu kuwasafisha watuhumiwa.
Wanasayansi watengeza mbegu za kiume!!!!!!
May 11, 2015
No comments
Seli za mbegu za kiume zimetengezwa
katika maabara kwa mara ya kwanza na hivyo basi kuwapa matumaini wanaume
wasio na uwezo wa kupata watoto.
Kanisa labadilishwa kuwa msikiti Itali..!!!!
May 11, 2015
No comments
Iceland imezua hisia kali wakati wa ufunguzi wa
maonyesho ya usanii katika mji wa Venice nchini Italy baada ya kulibadilisha
kanisa ambalo lilikuwa halitumiki kuwa msikiti.
Pakua ngoma mpya ya Same Girls hapa.!!
May 11, 2015
No comments
Nimekuwekea hapa wimbo mpya wa Same Girls unakwenda kwa jina la More baby unaweza kuusikiliza ama kuupakua hapa chini onyesha saport yako kwa vijana hawa.
Thursday 7 May 2015
May 07, 2015
No comments
Kwa bei ya sh.500/= utayajua magonjwa sugu 8 ambayo yanatibiwa kwa mbegu za tikiti maji, usikose nakala yako ya gazeti la Tabibu wiki hii.