Mtoto mchanga wa kiume wa siku tatu katika mtaa wa Masanga Wilaya ya Igunga,
ameokotwa akiwa amekatwa viungo vyake na watu wasiojulikana.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Masanga Julius Kitundu, amesema mtoto
huyo aliokotwa na wasamaria wema pembezoni mwa barabara ya lami.
Mwenyekiti huyo ametoa wito kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria
mkononi na kuwaomba watoe ushirikiano kwa jeshi la Polisi katika kuwasaka
wahusika.
Baadhi ya wananchi wamelaani kitendo hicho cha kinyama,na kusema wataanzisha
msako mkali ili kuhakikisha waliohusika wanakamatwa na mama aliyejifungua
anashikiliwa.
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment