Mtoto mchanga wa kiume wa siku tatu katika mtaa wa Masanga Wilaya ya Igunga,
ameokotwa akiwa amekatwa viungo vyake na watu wasiojulikana.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Masanga Julius Kitundu, amesema mtoto
huyo aliokotwa na wasamaria wema pembezoni mwa barabara ya lami.
Mwenyekiti huyo ametoa wito kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria
mkononi na kuwaomba watoe ushirikiano kwa jeshi la Polisi katika kuwasaka
wahusika.
Baadhi ya wananchi wamelaani kitendo hicho cha kinyama,na kusema wataanzisha
msako mkali ili kuhakikisha waliohusika wanakamatwa na mama aliyejifungua
anashikiliwa.
SERIKALI YAHIMIZA MATUMIZI YA VYAKULA VYA ASILI KUIMARISHA AFYA NA KUZUIA
MAGONJWA
-
Na Elimu ya Afya kwa Umma
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika
matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kuje...
1 hour ago






0 comments:
Post a Comment