Mtoto mchanga wa kiume wa siku tatu katika mtaa wa Masanga Wilaya ya Igunga,
ameokotwa akiwa amekatwa viungo vyake na watu wasiojulikana.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Masanga Julius Kitundu, amesema mtoto
huyo aliokotwa na wasamaria wema pembezoni mwa barabara ya lami.
Mwenyekiti huyo ametoa wito kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria
mkononi na kuwaomba watoe ushirikiano kwa jeshi la Polisi katika kuwasaka
wahusika.
Baadhi ya wananchi wamelaani kitendo hicho cha kinyama,na kusema wataanzisha
msako mkali ili kuhakikisha waliohusika wanakamatwa na mama aliyejifungua
anashikiliwa.
DYSLEXIA TANZANIA YAANDAA MBIO KUHAMASISHA UELEWA KUHUSU WATOTO WENYE
CHANGAMOTO ZA KUJIFUNZA
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Shirika lisilo la kiserikali Dyslexia Tanzania limeandaa mbio maalumu
zijulikanazo kama “Dyslexia Awareness Run”, zenye lengo la ...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment