Vijana kutoka kanda ya kaskazini wakifanya mziki mzuri,sasa baada ya kuisikia record yao inayokwenda kwa jina la More Baby, leo wametuletea zawadi ya ngoma nyingine nzuri kuisikia masikioni na kuicheza pia inakwenda kwa jina la Pengie.
Unaweza kuisikiliza kwa kubofya play hapa chini ama kuipakua pia.
MAFUTA NA GESI NI NGUZO YA UCHUMI WA TAIFA
-
*Sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa*
Na Rashid Mtagaluka.
Tarehe 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe....
0 comments:
Post a Comment