Kwa sasa ana umri wa miaka 180 na alizaliwa mwaka 1835 na tayari ameingia kwenye kitabu cha dunia cha kumbukumbu cha Guines kwa kuwa ndiye binadamuu pekee mwenye umri mkubwa kuliko wote.
Alizaliwa katika mji wa Bangalore India na kwa mujibu wa daktari aliyekuwa akimfanyia vipimo, amedhibitisha kuwa amekua hana magonjwa ya mara kwa mara hali inayochangia kuendelea kuishi kwa muda mrefu.
Lakini mtandao wa World News Report umesema huenda habari za mzee huyo hazina ukweli wowote.
0 comments:
Post a Comment