Taarifa kuwa wakili mmoja wa kenya amesema yuko tayari kutoa mahari kwa mtoto wa raisi wa Marekani,Barrack Obama zimeenea duniani kote Felix Kiprono amesema yuko tayari kutoa ng'ombe 50,kondoo 70 na mbuzi 30 kwa ajili ya mahari ya mtoto wa Obama,Malia Obama.Hivyo anajiandaa kuzungumzia swala hilo na baba wa mtoto huyo atakapo tembelea Kenya ,mwezi Julai.
MRADI MKUBWA WA DHAHABU SENGEREMA KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI-MAVUNDE
-
☑️ Serikali yasaini mkataba wa nyongeza ya hisa kutoka asilimia 16 hadi 20
na Kampuni ya Nyanzaga
☑️ Mwekezaji arejesha Leseni Serikalini, Waziri Mav...
9 hours ago
0 comments:
Post a Comment