This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
Thursday 30 April 2015
Askari wa Ufaransa wanajisi watoto CAR...
April 30, 2015
No comments
Wednesday 29 April 2015
Akatazwa shule kwa kuvaa sketi ndefu..!!!!
April 29, 2015
No comments
Mawasiliano ya kijamii yakatwa Burundi…!!!
April 29, 2015
No comments
Utawala nchini Burundi umekata mawasiliano ya
mitandao ya kijamii kupitia kwa simu za mkononi, mawasiliano ambayo wamekuwa
wakitumia kupanga maandamano ya kumpinga rais Pierre Nkurunziza.
Mamia ya waandamanaji wako barabarani kwenye mji mkuu wa Buruni,Bujumbura
kwa siku ya nne ya ghasia kutokana na uamuzi wa rais kwa kuwania muhula wa
tatu.
Pacquiao atamba kumchakaza Mayweather..!!
April 29, 2015
No comments
Indonesia yajitetea kwa kuwaua wauza Unga 8!!!
April 29, 2015
No comments
Utafiti mpya wabaini ‘Panya Road’ bado tishio Tz.
April 29, 2015
No comments
Vikundi vya uhalifu nchini vyenye muundo ‘Panya Road’ vinazidi kuwapa hofu
wananchi kutokana na vitendo vyao vya kutishia amani, utafiti wa Taasisi ya
kiraia ya Twaweza umebainisha.
Kahawa ya Tanzania hatarini kutoweka...
April 29, 2015
No comments
Utafiti uliofanywa na wataalamu wa mambo ya kilimo unaonyesha kuwa,zao la
Kahawa nchini Tanzania huenda likatoweka kabisa kutokana na mabadiliko ya tabia
ya nchi.
Tuesday 28 April 2015
Je,wewe hupatwa na maumivu ya mgongo?
April 28, 2015
No comments
Kesi ya ndoa za jinsia moja kusikizwa US……
April 28, 2015
No comments
Mahakama Kuu Kenya yabariki chama cha mashoga!!!!
April 28, 2015
No comments
Katika
hatua ya kushitua Mahakama Kuu nchini Kenya, imesalimu amri mbele ya
mashinikizo ya watetezi wa vitendo vichafu vya ulawiti na usagaji,
Monday 27 April 2015
Hot stories kwenye Magazeti Leo April 27 2015
April 27, 2015
No comments
Rais Jakaya Kikwete
ametoa msamaha kwa wafungwa 4,129 katika maadhimisho ya miaka 51 ya
Muungano, Mwalimu mkuu huko Lindi amekuta jeneza limewekwa mlango wake,
Friday 24 April 2015
Itizame hapa Ratiba ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa wa ulaya.
April 24, 2015
No comments
Hatimaye wanafunzi wa zamani wa kocha wa Manchester United Louis
Van Gaal, katika klabu ya FC Barcelona watapata nafasi ya kuonyeshana
umwamba katika kuelekea jijini Berlin Ujerumani
David Petraeus alitoa siri za Jeshi..
April 24, 2015
No comments
Jaji wa mahakama ya jimbo la North Carolina
nchini Marekani amemhukumu mkurugenzi wa zamani wa shirika la kijasusi la CIA,
Thursday 23 April 2015
Klabu bigwa ulaya ,Europa kupangwa kesho...
April 23, 2015
No comments
Droo ya kupanga ratiba ya nusu
fainali ya klabu bigwa na ile ya Europa ligi itafanyika kesho mchana
katika mji wa Nyon huko Uswisi.
Mashambulizi ya Yemen yawapa tuzo marubani!!!!!!
April 23, 2015
No comments
Biashara ya binaadamu ni tatizo Ulaya…
April 23, 2015
No comments
Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya
April 23, 2015
No comments
Timu nne zimetinga hatua ya nusu fainali katika ligi ya mabingwa barani
Ulaya iliyokamilika hapo jana, baada ya Real Madrid ya Hispania na
Juventus ya Uitaliano kufanikiwa kuingia nusu fainali.
April 23, 2015
No comments
Fahamu tiba ya magonjwa sugu usikubali kupitwa na gazeti la wiki hii la Tabibu ni kwa bei ya sh.500/=
Wednesday 22 April 2015
Je, umewahi kula mishikaki ya chura?
April 22, 2015
No comments
Hii ni rekodi ya mpangaji kukaa muda mrefu kwenye nyumba moja....
April 22, 2015
No comments
Hii sio mbali sana, inatokea mtaa wa Old
Ngara, Kenya ambako kuna mzee mmoja ambae ameishi kwenye nyumba kwa
muda mrefu,zaidi inaweza kuwa rekodi mpya sababu sikuwahi kuisikia kwingine
Adhabu ya Viboko yasababisha kifo cha mwanafunzi...!!!!!!
April 22, 2015
No comments
Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari ya Matui iliyopo Wilayani Kiteto, Mkoani Manyara Emmanuel Mbigima mwenye miaka 15,amefariki dunia
Wanajeshi Afrika kusini kuanza Doria.....!!!!!
April 22, 2015
No comments
Tuesday 21 April 2015
Uharamia wapungua duniani
April 21, 2015
No comments
Mawaziri 16 waapishwa Afghanistan..
April 21, 2015
No comments
Baada ya miezi kadha ya mizozo ya
kisiasa, rais wa Afghanistan Ashraf Ghani amewaapisha mawaziri 16 wapya
kwenye sherehe zilizofanyika mjini Kabul.
Rais wa zamani Misri ahukumiwa miaka 20 gerezani!!!
April 21, 2015
No comments
Hii ndiyo Tren yenye kasi zaidi Duniani..
April 21, 2015
No comments
Unafahamu kuwa kuna mafua yasiyopona kabisaa.???
April 21, 2015
No comments
Wako watu ambao tatizo la mafua kwao
limeshakuwa kama sehemu ya maisha yao yaani wiki haiishi hujamwona ana mafua.
UDSM kimo katika kumi bora ya vyuo vikuu Afrika..!!
April 21, 2015
No comments
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeshika nafasi ya kumi miongoni mwa
vyuo vikuu 50 bora na vyenye umaarufu Afrika.
RADIO 5 THE ONLY CHOICE INAKULETEA NDONDO 2015...Woooyooooh!! Wooyoooo Woyooooooooh!!!
April 21, 2015
No comments
Wooooyoooooh!! wooyoooo Wowyoooooooooooooooooooooh!!!!!!,tukutane basi maeneo yale ndio utakuwa mpango mzima watu wetuu wa A.City na majirani mwakaribishwa kushuhudia Ndondo cup 2015 RADIO 5 NIPE TANO.
Habari Gumzo kwenye Magazeti leo April 21 2015
April 21, 2015
No comments
ANTENNA SHOW YA RADIO 5 APRIL 20 2015 HII HAPA!!
April 21, 2015
No comments
Show inakuwa hewani hapa Radio 5 kila juma tatu mpaka ijuma kuanzia saa
kumi kamili jioni mpaka saa kumi na mbili na nusu jioni,unakosaje sasa
mkusanyiko wa matukio,habari na mammbo mengi ya siku nzima hapa ndio
nyumbani DONT MISS Mondaya to Friday 10 pm to 12:30pm
Kama ulimis kuisikiliza show ya Antenna siku ya juma tatu tar 20-4-2015 unaweza kuisikiliza hapa chini kwa kubonyeza tu play uipate walau kidogo.
Kama ulimis kuisikiliza show ya Antenna siku ya juma tatu tar 20-4-2015 unaweza kuisikiliza hapa chini kwa kubonyeza tu play uipate walau kidogo.
Monday 20 April 2015
ANTENNA SHOW YA RADIO 5 YA IJUMAA APRIL 17 HII HAPA!!
April 20, 2015
No comments
Mfalme Zwelithini kutuliza raia Afrika Kusini!!!!
April 20, 2015
No comments
Nchi zaidi ya 150 zakutana Marekani..!!!
April 20, 2015
No comments
Mkutano wa mwanzo wa mwaka wa majira ya machipukowa Bank kuu ya dunia na shirika la kimataifa la fedha duniani IMF,unaowakusanya pamoja mawaziri wa fedha,Magavana wa Bank kuu za kitaifa na wataalamu wa kiuchumi toka zaidi ya mataifa 150 unaendelea nchini Marekani.
WATU 18 WAFARIKI KWA UGONJWA USIOJULIKANA!!!!
April 20, 2015
No comments
Shirika la Afya Duniani WHO,
linasema inavyoelekea dawa ya kuua magugu ndiyo chanzo cha vifo vya watu
18 vilivyotokea kusini-magharibi mwa Nigeria, bila ya sababu kujulikana.
Wenye VVU wanaweza kujifungua watoto salama kabisa!!!!
April 20, 2015
No comments
Kumekuwepo na mitizamo tofauti juu
ya mama mjamzito mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi kujifungua mtoto asiye
na maambukizi.
Ubalozi wajiandaa kuondoa Watanzania Afrika Kusini!!
April 20, 2015
No comments
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza utambuzi wa
Watanzania waishio katikmaeneo ya hatari nchini humo,kabla ya kuanza hatua za
kuwaondoa na kuwarejesha nyumbani.