Mfanyabiashara Farijala Husein amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kukutwa na
hatia, Rais Kikwete ameshtushwa na taarifa za kuhusishwa na mikakati ya kummaliza Mwenyekiti wa IPP Reginald Mengi,
TFDA imetakiwa kukagua supermarket za mikoani, Tume ya Taifa ya
uchaguzi imepokea vifaa vipya vya BVR 1600 kwa ajili ya uchaguzi, TABOA
imetangaza kufanya mgomo mwingine nchi nzima.
kuna habari ya watu 3 wamekamatwa mkoani Mbeya wakiwa na kiganja cha mtu mwenye ulemavu wa ngozi, Rais Kikwete
amemtunuku nishani ya ushupavu Askari wa JWTZ aliyepambana na majambazi
na jukwaa la wahariri TZ limesema ikiwa rais atasani muswada wa
kupitisha sheria za takwimu na makosa mtandaoni litakwenda mahakamani
kupinga.
0 comments:
Post a Comment