Afande Sele kaandikwa nae, amesema anataka kuwa Mbunge wa tofauti na sio Ubunge wa kuvaa suti na kupokea Rushwa.
Chuo cha UDSM kimeshika
nafasi ya kumi kwa ubora Afrika, Serikali imetangaza kuzifuta taasisi
zaidi ya elfu kumi za kidini na NGO ambazo zimetajwa kuvunja kanuni
mbalimbali ikiwemo kujihusisha na siasa.
Headline nyingine ni ishu ya NEC
kutangaza kuwasili mashine mpya za BVR kwa ajili ya kuandikisha
Wapigakura TZ ndani ya wiki hii, nyingine ni kuhusu Serikali kutangaza
kuwarudisha TZ watu wote walio tayari kurudi kutoka Afrika Kusini.
0 comments:
Post a Comment