Home »
» Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani.!!!
April 08, 2015
Wakuu katika
jimbo la South Carolina nchini Marekani wamemhukumu Afisa mmoja wa polisi
mweupe, kwa kosa la mauaji.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kumpiga risasi raia
mmoja mweusi na kumuuwa.
Picha ya Video ya kilichofanyika imewekwa
mtandaoni.
Mkanda huo wa video unaonesha mtu mmoja kwa
jina Walter Scott, akipigwa risasi alipokuwa akimkimbia afisa huyo,Tizama video hapa chini.
0 comments:
Post a Comment