Kumekuwepo na mitizamo tofauti juu
ya mama mjamzito mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi kujifungua mtoto asiye
na maambukizi.
Watu wengi wamekuwa na hofu kuwa
mwanamke akishapata maambukizi ya VVU basi hata watoto atakaojaliwa kuwapata na
wenyewe lazima watakuwa tayari wameadhirika na ugonjwa huo.
Sasa leo nakuletea Dr Makwale toka
kituo cha Afya cha Maria Stopes cha mbeya hapa anatuelezea uwezekano wa mama
mwenye maambukizi ya VVU kujifungua mtoto asiye na maambukizi.
0 comments:
Post a Comment