Wednesday 22 April 2015

Uwekezaji dhidi ya Malaria umeokoa maisha Tanzania:



 
Kuelekea siku ya Malaria duniani tarehe 25 mwezi huu, Tanzania imesema uwekezaji katika kinga,
tiba na ugunduzi wa mapema wa ugonjwa huo umesaidia kupunguza maambukizi ya ugonjwa huo ikotolea mfano kwa watoto wadogo.
Naibu Meneja wa mpango wa Taifa wa kudhibiti Malaria nchini Dkt.Renata Mandike,ameiambia kiwale11 blog katika mahojiano maalum kuwa,usambazaji wa vyandarua vyenye viuatilifu, dawa mseto na mifumo bora ya utambuzi wa Malaria imewezesha idadi ya watoto wanaougua Malaria kupungua kwa asilimia 40 mwaka 2012.

Msikie hapa chini kwa kubonyeza play umsikie akifunguka zaidi juu ya utafaiti ulifanyika.

0 comments:

Post a Comment