Hapa nimekuwekea sauti za baadhi ya wabunge wakitoa maoni yao juu ya sakata lililotokea bungeni leo asubuhi,baada ya mbunge wa Ubungo john Mnyika kuitaka
serikali kutoa majibu juu ya zoezi la uandikishwaji wananachi katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Kubwa ni kuhusiana na muda ul;iosali je utatosha kufanikisha zoezi hilo na kura ifanikiwe kupigwa,wasikie hapa chini wanafunguka,
DYSLEXIA TANZANIA YAANDAA MBIO KUHAMASISHA UELEWA KUHUSU WATOTO WENYE
CHANGAMOTO ZA KUJIFUNZA
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Shirika lisilo la kiserikali Dyslexia Tanzania limeandaa mbio maalumu
zijulikanazo kama “Dyslexia Awareness Run”, zenye lengo la ...
5 hours ago
0 comments:
Post a Comment