Hapa nimekuwekea sauti za baadhi ya wabunge wakitoa maoni yao juu ya sakata lililotokea bungeni leo asubuhi,baada ya mbunge wa Ubungo john Mnyika kuitaka
serikali kutoa majibu juu ya zoezi la uandikishwaji wananachi katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Kubwa ni kuhusiana na muda ul;iosali je utatosha kufanikisha zoezi hilo na kura ifanikiwe kupigwa,wasikie hapa chini wanafunguka,
IBKI ENTERPRISES YAZINDUA DUKA LA KISASA LA BIDHAA ZA HAIER UBUNGO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMPUNI ya Usambazaji na Uuzaji wa Bidhaa za Haier, IBKI Enterprises Ltd,
imezindua duka la kisasa la uuzaji wa bidhaa za k...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment