Hapa nimekuwekea sauti za baadhi ya wabunge wakitoa maoni yao juu ya sakata lililotokea bungeni leo asubuhi,baada ya mbunge wa Ubungo john Mnyika kuitaka
serikali kutoa majibu juu ya zoezi la uandikishwaji wananachi katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Kubwa ni kuhusiana na muda ul;iosali je utatosha kufanikisha zoezi hilo na kura ifanikiwe kupigwa,wasikie hapa chini wanafunguka,
WAZIRI AWESO ATANGAZA KUMALIZIKA KWA CHANGAMOTO YA MAJI DAR
-
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ameziagiza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi
wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuwasha mitambo yote ili kuondoa mgao
...
37 minutes ago






0 comments:
Post a Comment