Hapa nimekuwekea sauti za baadhi ya wabunge wakitoa maoni yao juu ya sakata lililotokea bungeni leo asubuhi,baada ya mbunge wa Ubungo john Mnyika kuitaka
serikali kutoa majibu juu ya zoezi la uandikishwaji wananachi katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Kubwa ni kuhusiana na muda ul;iosali je utatosha kufanikisha zoezi hilo na kura ifanikiwe kupigwa,wasikie hapa chini wanafunguka,
SERIKALI KUENDELEA NA UTEKELEZAJI GRIDI YA TAIFA YA MAJI
-
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amesema Serikali inaendelea na maandalizi ya
utekelezaji wa Gridi ya Taifa ya Maji inayolenga kutumia vyanzo vya uhakika
vya maj...
5 hours ago
0 comments:
Post a Comment