Hapa nimekuwekea sauti za baadhi ya wabunge wakitoa maoni yao juu ya sakata lililotokea bungeni leo asubuhi,baada ya mbunge wa Ubungo john Mnyika kuitaka
serikali kutoa majibu juu ya zoezi la uandikishwaji wananachi katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Kubwa ni kuhusiana na muda ul;iosali je utatosha kufanikisha zoezi hilo na kura ifanikiwe kupigwa,wasikie hapa chini wanafunguka,
Britam Tanzania Yawekeza Katika Miradi ya Maji na Upandaji Miti Kwenye
Shule Mbili za Msingi
-
Britam Insurance Limited (Tanzania) imewekeza TZS milioni 40 katika mradi
wa maji safi unaolenga shule mbili za msingi jijini Dar es Salaam, ikiwa ni
se...
1 hour ago






0 comments:
Post a Comment