Hizi ndizo habari zenye zenye uzito mkubwa Magazetini leo April 16 2015.
Jeshi la Polisi Morogoro linawashikilia watu 10 waliokamatwa Msikitini wakiwa na vitu mbalimbali ikiwemo milipuko, Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar, Prof. Kitila Mkumbo
amesema tatizo la ajira limechangia ukosefu wa maarifa, Waziri Lazaro Nyalandu ameendelea na zoezi la kupambana na majangili, kuna stori ya mume na mke kuhukumiwa kifungo cha miaka ishirini kwa kukutwa na dawa za kulevya.
Nauli za mabasi mikoani zimeshuka lakini
SUMATRA imesema haiwezi kupunguza nauli kwa usafiri wa mijini, simu
maalum kutumika kuwakamata ‘madereva feki’ TZ, Mbunge wa John Mnyika ameitaka
Serikali kulipa uzito tatizo la kukithiri kwa ajali TZ, Serikali
imepunguza idadi ya masomo kutoka saba hadi matatu kwa darasa la kwanza
na la pili.pia imo ya kuagwa kwa miili ya watu 8
waliofariki kwa kupigwa na radi.
0 comments:
Post a Comment