wameruhusiwa kuchukua miili ya ndugu zao kwa ajili ya mazishi ambapo Serikali ililazimika kutumia mashine maalum kutambua baadhi ya miili ambayo iliharibika vibaya kutokana na majeraha ya risasi.
Lakini bado kuna jambo lililotata kwani zaidi ya wanafunzi 166 hawajulikani walipo,na
familia zao bado zimeendelea kulalamika kutokana na baadhi ya ndugu zao
kutoonekana.
Jambo jingine linaliripotiwa kutoka huko ni kwamba Uamuzi mgumu umechukuliwa,baada kenya kulitaka Shirika la Wakimbizi UNHCR ndani ya miezi mitatu
kufunga kambi ya wakimbizi,iliyoko mashariki mwa nchini hiyo pamoja na
kuwarudisha kwao wakimbizi ambao ni raia wa Somalia zaidi ya laki nne.
Sikiliza Taarifa kamili hapa chini iliyoriotiwa na kituo cha K24 nchini humo.
0 comments:
Post a Comment