Utawala nchini Burundi umekata mawasiliano ya mitandao ya kijamii kupitia kwa simu za mkononi, mawasiliano ambayo wamekuwa wakitumia kupanga maandamano ya kumpinga rais Pierre Nkurunziza. Mamia ya waandamanaji wako barabarani kwenye mji mkuu wa Buruni,Bujumbura kwa siku ya nne ya ghasia kutokana na uamuzi wa rais kwa kuwania muhula wa tatu.
GEL yawafungulia milango fursa za elimu duniani wanafunzi 387
-
Na Mwandishi Wetu.
GLOBAL Education Link (GEL) imewakabidhi nyaraka rasmi za safari wanafunzi
387 wa Kitanzania wanaotarajia kwenda kuendelea na masomo ya ...
23 hours ago







0 comments:
Post a Comment