Utawala nchini Burundi umekata mawasiliano ya mitandao ya kijamii kupitia kwa simu za mkononi, mawasiliano ambayo wamekuwa wakitumia kupanga maandamano ya kumpinga rais Pierre Nkurunziza. Mamia ya waandamanaji wako barabarani kwenye mji mkuu wa Buruni,Bujumbura kwa siku ya nne ya ghasia kutokana na uamuzi wa rais kwa kuwania muhula wa tatu.
Mashirikiano PURA, PAU na ZPRA kuleta mapinduzi sekta ya mafuta na gesi
asilia
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara,
Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia
Zanzibar (ZP...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment