Utawala nchini Burundi umekata mawasiliano ya mitandao ya kijamii kupitia kwa simu za mkononi, mawasiliano ambayo wamekuwa wakitumia kupanga maandamano ya kumpinga rais Pierre Nkurunziza. Mamia ya waandamanaji wako barabarani kwenye mji mkuu wa Buruni,Bujumbura kwa siku ya nne ya ghasia kutokana na uamuzi wa rais kwa kuwania muhula wa tatu.
NCHI YA TANZANIA YAVUKA LENGO LA USALAMA WA CHAKULA KUTOKA ASILIMIA 100
MPAKA KUFIKIA ASILIMIA 124.
-
Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji Mhe Prof. Kitila Mkumbo
amesema kuwa hatua ya kwanza kujipima kat...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment