Utawala nchini Burundi umekata mawasiliano ya mitandao ya kijamii kupitia kwa simu za mkononi, mawasiliano ambayo wamekuwa wakitumia kupanga maandamano ya kumpinga rais Pierre Nkurunziza. Mamia ya waandamanaji wako barabarani kwenye mji mkuu wa Buruni,Bujumbura kwa siku ya nne ya ghasia kutokana na uamuzi wa rais kwa kuwania muhula wa tatu.
PURA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA VYA GESI
MTWARA
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema kuwa utoaji wa
elimu kwa wananchi kuhusu miradi inayotarajiwa kutekelezwa ni miongoni mwa
masua...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment