This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Saturday 26 May 2018

MBUNGE CHADEMA AFARIKI DUNIA..!

Mbunge wa Buyungu (Chadema) Kasuku Bilago amefariki dunia leo Jumamosi Mei 26, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

MHUDUMU WA HOTELI AKUTWA NA SARE ZA POLISI, BASTOLA..!

Mhudumu wa Hoteli ya Sleep Inn na mkazi wa Mwananyamala kwa kopa, anashikiliwa na polisi  kwa kukutwa na sare za  polisi, silaha, cheo cha koplo na pingu.

KOREA WAFANYA MKUTANO WA GHAFLA…….!


Viongozi wa Korea Kaskazini na Kusini wamekutana eneo lenye ulinzi mkali kati ya nchi hizo mbili.

Thursday 22 March 2018

SERIKALI YAMWONYA DIAMOND……

 

Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo nchini Tanzania imemshutumu nwanamuziki maarufu Diamond Platnumz kwa kauli aliyoitoa kuhusu kufungiwa kwa nyimbo zake mbili.

AMUUA MAMA YAKE KISHA KUMTOA MACHO….

Camille Balla 32, kutoka Florida amekamatwa baada ya kumuua mama yake Francisca Monterio-Balla na kisha kumtoa macho na kisha kupiga simu polisi na kuwaeleza kuwa yeye ni muuaji.

WAZIRI ASIMAMISHWA KAZI KWA KUMPIGA MBUNGE…

Bunge la Zambia limemsimamisha kazi Waziri wa Jimbo la Lusaka Bowman Lusambo kwa muda wa mwezi mmoja, baada ya kumchapa kibao mbunge Chishimba Kambwili wakiwa bungeni.

MSICHANA ALIYEWAPIGA MAKOFI WANAJESHI AFUNGWA JELA…

Msichana wa Palestina Ahed Tamimi aliyerekodiwa kwenye kipande cha video akizozana na baadaye kuwapiga makofi wanajeshi wa Israel wenye bunduki, amehukumiwa kifungo cha miezi nane jela baada ya kukiri makosa.

WABUNGE WAFYATUA GESI YA MACHOZI BUNGENI....

Wabunge wa kambi ya upinzani katika Bunge la Kosovo wamefyatua gesi ya machozi bungeni wakati vikao vya bunge vikiendelea, kwa lengo la kuzuia bunge hilo kupitisha mkataba wasioupenda.

Friday 16 March 2018

RAIA WA TANZANIA NA BURUNDI HAWANA FURAHA….

Tanzania, Burundi na Rwanda zimeorodheshwa kuwa kati ya nchi zenye watu wasio na furaha duniani katika orodha ya kila mwaka ya Umoja wa Mataifa kuhusu viwango vya furaha duniani.

MUGABE: SIKUTEGEMEA KUONDOLEWA MADARAKANI NA MNANGAGWA

 

Aliyekua Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, amevunja ukimya kwa mara ya kwanza tangu aondolewe Madarakani,kwa kusema kuwa amekua muhanga wa mapinduzi ya kijeshi.

Monday 12 March 2018

MAMA AJINYONGA BAADA YA KUUA WANAWE WANE……

Mwanamke mmoja katika kijiji cha Nyahera Kaunti ya Kisumu nchini Kenya, amewaua watoto watatu wa mke mwenzie, na kisha mwenyewe kujinyonga.

NKURUNZINZA ATANGAZWA KUWA KIONGOZI WA MAISHA…..

Chama tawala nchini Burundi CNDD/FDD kimemtangaza Rais Pierre Nkurunzinza, kama kiongozi mkuu wa kudumu au kiongozi wa milele ndani ya chama hicho.

Wednesday 7 March 2018

KAMANDA WA POLISI AKANUSHA KUPATIKANA KWA MASHEIKH ZANZIBAR..


Jeshi la Polisi Zanzibar limesema halina taarifa za kuonekana kwa mashekhe watatu wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar, ambao waliripotiwa kutoonekana tangu Januari 9, mwaka huu.

UNAFAHAMU UMRI SAHIHI WA KUANZA KUFANYA MAPENZI NCHINI MWAKO..?

Ufaransa inatarajia kuweka sheria maalum ya umri wa kuanza kufanya mapenzi kuwa ni miaka 15.

Hivyo kufuatia mapendekezo hayo mtu yeyote atakayebainika kufanya mapenzi chini ya umri huo atakuwa amebaka.

Maamuzi haya yamekuja nchini humo mara baada ya madaktari na wanasheria kutoa ushauri wao kuhusiana na umri mtu anaostahili kuanza kufanya mapenzi.

MHUBIRI AWAVUTIA WAUMINI KWA KUTEMBEA HEWANI....

Mhubiri mmoja nchini Malawi amewavutia  waumini wake kwa kudaiwa kuwa anatembea hewani, kuponya walioathirika na ukimwi, kuponya vipofu na kuwaombea masikini kuwa matajiri.