Wajumbe katika mkutano huo wamekuwa wakizungumzia juu ya Athari za kushuka kwa bei za mafuta duniani pamoja na maswala ya akiba ya chakula na maswala mengine muhimu.
Waziri wa fedha hapa nchi Bi Saada Mkuya, anaehudhuria mkutani huo amesema kuna maswala muhimu kuhusua Afrika yaliyojadiliwa katika mkutanmo huo,Bonyeza hapa chini umsikie akizungumzia maswala yanayoihusu Africa yaliyozungumzwa katika mkutano huo.
0 comments:
Post a Comment