JWTZ
wanasubiri kupokea miili ya wanajeshi waliofariki DRC Congo, Waziri
Mkuu Pinda atakabidhiwa ripoti ya maafa ya mvua Dar leo, Kafulila ameapa
kuibua ishu ya ESCROW upya, anaituhumu Ikulu kuwasafisha watuhumiwa.
Kasi ya wakimbizi kuingia kutoka Burundi imeongezeka, Kigogo agawa fedha kumhujumu Rais JK, wafuasi wa Lowassa
wamesema jina lake likikatwa kwenye Urais patachimbika, mtoto mmoja
amesafirishwa ndani ya begi toka Morroco mpaka Spain, Polisi wamkuta
akiwa kwenye hali mbaya.
Stori nyingine inahusu Mbunge Tundu Lissu kumtaja Dk. Slaa kuwa ndiye Rais ajaye kupitia UKAWA, Kikao cha Bunge kuanza kesho Dodoma.
0 comments:
Post a Comment