Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)
imeutaarifu Umma juu ya kuendelea na taratibu za kujaza nafasi
iliyoachwa wazi
na Mbunge wa Viti maalumu(CCM) Sophia Simba aliyefukuzwa uanachama wa Chama cha
Mapindizi (CCM).
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji(R) Semistocles Kaijage ameeleza kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemjulisha Mwenyekiti wa Tume kuwa kufuatia Mbunge huyo kufukuzwa uanachama wa CCM hivyo kiti cha Mbunge huyo kiko wazi.
Itazame Video hapa chinii:
0 comments:
Post a Comment