F
Francisco Domingo kutoka
Angola ndie mwanadamu anaeshikilia rekodi ya kuwa na uwezo wa kutanua mdomo
wake hadi kufikia upana wa inchi 6.69.
Ameshikilia rekodi hii tangu
mwaka 2010 hadi sasa hakuna mwanadamu mwingine aliyefanikiwa kuvunja rekodi
yake.
Domingo amejikuta akiweza kutanua kinywa chake kwa ukubwa huo kutokana na
matatizo ya kiafya aliyonayo.
0 comments:
Post a Comment