Sunday, 5 February 2017

Rais wa Ukrain afanya mazungumzo ya simu na Trump

Rais wa Ukraine, Petro Poroshenko, amesema kuwa amekuwa na mazungumzo na Donald Trump, kuhusiana na hali ilivyo mashariki mwa nchi hiyo, mahali ambapo majeshi ya serikali yanakabiliana na waasi wanaoungwa mkono na Urusi.

Bwana Poroshenko, amesema kwamba, Bwana Trump, amezungumzia kuimarisha mikakati ya ushirikiano kati ya Ukraine na Marekani, na haja ya kutanzua mgogoro huo kwa njia ya kidiplomasia.
Mapigano mapya mashariki mwa Ukrain
Urusi kuvuruga matangazo ya radio kutoka Ukrain kwenda Crimea
Awali, Bwana Poroshenko alisema kuwa, mapigano mapya yaliyochipuko huko hivi majuzi, inaimarisha haja ya Marekani kuiwekea vikwazo Urusi.
Lakini Bwana Trump amesema kuwa, anataka kuimarisha uhusiano wake na Rais wa Urusi Vladimir Putin.

Related Posts:

  • TUNDU LISSU ATEMA CHECHE…. Wakati Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, akiwa bado anakabiliwa na kesi kadhaa za uchochezi, amefytuka tena na kutoa maneno mazito juu ya viongozi wa Serikali, huku akisema kwa … Read More
  • MUUGUZI AMDUNGA BINTI SINDANO NA KUMBAKA…… Muuguzi anayefanya kazi Kituo cha Afya Kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Damian Mgaya (26) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumbaka binti wa miaka 18 mkazi wa kitongoji cha Mwagala B, Kijiji cha Mwagala.… Read More
  • WAUMINI WAWILI WAFA MAJI WAKIBATIZWA.. Waumini wawili wa Kanisa Siloam wamekufa maji wakibatizwa katika Mto Ungwasi wilayani Rombo baada ya mmoja wao kupandisha mapepo na kuwatumbukiza majini wenzake. Mkuu wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro Agnes Hokororo… Read More
  • ROONEY AITEKA DAR………   Mshambuliaji mpya wa Everton Wayne Rooney, amekuwa kivutio wakati msafara wa timu hiyo ulipowasili jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Everton iliyowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa (JNIA) ilipokelewa na Wa… Read More
  • WANAOTOA SIRI ZA SERIKALI MTANDAONI KUTUPWA JELA MIAKA 20.. Serikali imetoa onyo kwa watumishi wa umma wanaotoa siri za serikali na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii kuwa watachukuliwa hatua za kisheria. Onyo hilo lilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Ofisi ya R… Read More

0 comments:

Post a Comment