Tuesday, 14 February 2017

MAREKANI YASEMA KOREA YA KASKAZINI NI TATIZO..

Rais wa Marekani, Donald Trump ameizungumzia Korea ya Kaskazini baada ya kitendo chake cha hivi karibuni cha kurusha kombora lenye uwezo wa kubeba silaha za kinyuklia kwamba nchi hiyo ni hatari kwa usalama wa dunia.

Trump ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi habari akiwa pamoja na waziri mkuu wa nchi ya Canada, Justin Trudeau katika ikulu ya Marekani, Trump amesema kwamba ataishughulikia Korea ya kaskazini mpaka pale itakapo acha kfanya hivyo.
Aidha, baraza la usalama la Umoja wa mataifa lina nia ya kufanya mkutano wa dharula muda cha kuijadli korea kaskazini kwa kitendo ilicho kifanya korea.
Naye msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa China Geng Shuang amesema kwamba Beijing ililipinga jaribio hilo, inagawa Pyongyang ilikuwa inaendelea na mipango yake ya uendelezaji silaha kutokana na mvutano ulioko baina ya Washington na Seoul

Related Posts:

  • RAILA: AWAOMBA WAFUASI WAKE KUTOSHIRIKI NGONO MKESHA WA UCHAGUZI… Mgombea wa urais katika muungano wa NASA nchini Kenya Raila Odinga amewataka wafuasi wake kutoshiriki tendo la ndoa mkesha wa siku ya uchaguzi. Bwana Odinga amefananisha uchaguzi huo na vita akisema kuwa kushiriki ngono… Read More
  • ADAKWA AKIFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI MAABARA.. Mwalimu wa somo la Baiolojia katika shule ya sekondari ya wasichana ya St Therese mjini Lusaka ambaye alidakwa akifanya mapenzi na mwanafunzi katika maabara ya shule hiyo amesimamishwa kazi akisubiri hatua za kinidhamu dh… Read More
  • MAMAKE ZARI HASSAN AAGA DUNIA….. Zari Hassan anaomboleza kifo cha mamake miezi miwili tu baada ya kumzika aliyekuwa mumewe Ivan Ssemwanga. Kulingana na gazeti la daily nation nchini Kenya. Mfanyibiashara huyo ambaye ni mke wa msanii wa bongo Diamond Pl… Read More
  • AJUZA WA MIAKA 86 ASHTAKIWA KWA WIZI…. Ajuza wa miaka 86 anayejulikana sana kwa wizi wa vito tangu miaka ya 50 ameshtakiwa kwa wizi. Doris Payne alikamatwa katika duka moja katika eneo la Chamblee mjini Georgia kwa wizi wa vito vyenye thamani ya dola 86 kulin… Read More
  • MBUNGE ANAYEMKOSOA ZUMA KULINDWA…. Mkosoaji mashuhuri wa rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, atapewa ulinzi wa polisi baada ya kupokea vitisho vya kuuliwa. Bunge na polisi walifanya uchunguzi na kubaini kuwa kuna vitisho vya kuuliwa dhidi ya Makhosi Khoza … Read More

0 comments:

Post a Comment