Tuesday, 14 February 2017

PLAYBOY KUCHAPISHA TENA PICHA ZA UTUPU..

Jarida la Playboy limetangaza kwamba litaanza kuchapisha tena picha za utupu, na kubatilisha uamuzi wa awali uliotolewa mwishoni mwa mwaka jana.

Hatua ya sasa imetangazwa na afisa mkuu mpya wa ubunifu katika jarida hilo Cooper Hefner, ambaye amesema uamuzi wa kuondoa kabisa picha za utupu "lilikuwa kosa".
"Leo tunarejesha utambulisho wetu na kutwaa tena sifa zetu," aliandika kwenye Twitter.
Jarida hilo linalochapishiwa Marekani pia limepakia mtandaoni jalada la makala yake ya Machi-Aprili ya jarida hilo na kutumia kitambulisha mada #NakedIsNormal (Utupu ni kawaida).
Baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii wamefurahia uamuzi huo, lakini wengine wamesema uamuzi huo umechukuliwa kwa sababu majarida hayo hayanunuliwi sana.

Related Posts:

  • WATU 250 WAANGAMIA KWENYE MAPOROMOKO.. Mamlaka ya jeshi la Colombia inasema idadi ya waliofariki katika maporomoko ya ardhi nchini humo imefikia watu 250 huku waliojeruhiwa wakiwa 400. Hata hivyo idadi hiyo huenda ikaongezeka kwani bado kuna zaidi ya watu … Read More
  • IDADI YA WASIO NA CHAKULA DUNIANI YAONGEZEKA- RIPOTI Ripoti mpya kuhusu hali ya janga la chakula duniani imesema idadi ya watu wasio na uhakika wa kupata chakula iliongezeka mwaka jana na kufikia watu milioni 108, ikilinganishwa na milioni 80 mwaka 2015, licha ya jitihada … Read More
  • CHINA YAPIGA MARUFUKU KUFUGA NDEVU.. Sheria mpya zitaanza kutekelezwa katika jimbo la magharibi mwa Uchina la Xinjiang, ambako utawala wa Beijing unaaendeleza kile wanachokisema ni kuzuia ueneaji wa itikadi kali. Miongoni mwa hatua wanazochukua ni kupiga… Read More
  • MWANAMUME ATAMIA MAYAI YA KUKU…. Msanii kutoka Ufaransa Abraham Poincheval anaendelea kutamia mayai ya kuku akiwa na matumaini kwamba mwishowe yataangua vifaranga. Msanii huyo anatumia joto kutoka kwa mwili wake kutamia mayao hayo 10. Poincheval amb… Read More
  • MSUSI MWENYE UMRI WA MIAKA 93 ASTAAFU... Msusi mmoja amestaafu baada ya kufanya kazi kwenye duka moja la urembo kwa miaka jumla ya 72. Kathleen Privett mwenye umri wa miaka 93, ameamua kufunga duka hilo lililo Drayton, Portsmouh, ambalo lilianzishwa na babaka … Read More

0 comments:

Post a Comment