Friday 26 June 2015

Kobe huenda wakaangamia Madagascar....!

Aina moja ya Kobe wanaowindwa na wawindaji haramu nchini Madagascar wako katika hatari kubwa ya kuangamia.
Sasa wanaharakati wa kulinda mazingira wameanza kuweka alama kwenye kauri za kobe hao waliosalia kwa nia ya kuharibu uzuri wao katika macho ya wawindaji haramu.

Kobe mmoja anauzwa katika soko la chini kwa chini kwa dola elfu 37 hivi.

0 comments:

Post a Comment