Aina moja ya
Kobe wanaowindwa na wawindaji haramu nchini Madagascar wako katika hatari kubwa
ya kuangamia.
Sasa wanaharakati wa kulinda mazingira wameanza kuweka alama
kwenye kauri za kobe hao waliosalia kwa nia ya kuharibu uzuri wao katika macho
ya wawindaji haramu.
Kobe mmoja anauzwa katika soko la chini kwa chini kwa dola elfu
37 hivi.
0 comments:
Post a Comment