Friday 3 July 2015

Waziri aelezea hali ya ugaidi hapa nchini……

Naibu waziri wa mambo ya ndani Mheshimiwa Silima,amejibu swali juu ya hali ya ugaidi hapa nchini licha ya kifo cha kiongozi wa kundi la kigaidi Osama bin Ladden.
Naibu waziri ameeleza hiyo leo bungeni mjini dodoma alipokuwa akijibu swali ya mbunge wa Chonga Mheshimiwa Haroub Mohamed Shamis, aliyetaka kujua hali ya ugaidi ilivyo hapa nchini.
Katika majibu yake mheshimiwa Naibu waziri wa mambo ya ndani Silima,hapa anaanza kwa kuelezea ugaidi ni nini,Bonyeza play hapa chini kumsikiliza

0 comments:

Post a Comment