Wanaume ambao hushiriki uasherati watafungwa jela, chini ya
sheria mpya
ambayo inajadiliwa na bunge la Cameroon.
Mswada huo ambao ulipata
uungwaji mkono wa chama cha Rais Paul Biya, unatarajiwa kuidhinishwa.
Kwa sasa wanawake wanaweza
kufungwa jela kwa kati ya miezi miwili na sita kwa kufanya mapenzi nje ya ndoa.
Wakosoaji wanasema kuwa sheria
hiyo itairudisha nyuma Cameroon, na kusababisha watu wengi kufungwa.
0 comments:
Post a Comment