June 27 2016
bunge la 11 limefanya mapitio ya marekebisho ya muswada wa sheria ya mtoto,
ambayo imeelekeza kuwa mtu atakayempa mimba mtoto ambaye kisheria anafahamika
ni yule mwenye umri wa chini ya miaka 18, basi atahukumiwa kifungo cha jela
miaka 30.
Kabla ya kutolewa kwa ufafanuzi wa sheria hii na serikali, yawezekana
ulikuwa ukifikira inawahusu wale watakaowapatia mimba wanafunzi tuu.
Sasa sio hivyo tu kwani kwa maboresho yalifanyika, itakula
kwako hata wewe utayefanya kitendo cha kujamiana na mtoto aliyechini ya miaka
18 hata kama alikubali mwenyewe.
Bonyeza play hapo chini kumsikia mwanasheria mkuu wa
serikali George Masaju,
alipokuwa akitoa maelezo juu ya sheria hiyo iliyoboreshwa.
0 comments:
Post a Comment