This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday, 27 February 2013

Hivi ni vivutio vya Tanzania vilivyoingia katika maajabu saba ya asili Afrika. Serengeti Migration, Mlima Kilimanjaro na Ngorongoro crater.

Ni Katika kile kinyang'anyiro cha kupata vivutio asilia saba vyenye maajabu toka barani Afrika. Kinyang'anyiro ambacho kilirindima mwaka jana 2012 kwa wadau kupigia kura vivutio 11 vilivyokuwa vikishindanishwa. Mlima Kilimanjaro,Wanyama wanaohama wa Serengeti na Ngorongoro crater ndio yalikuwa maajabu toka Tanzania ambayo yalikuwa yameteuliwa kupigiwa kura,kwa kifupi vivutio vyote vitatu toka Tanzania vimeweza kufanya vyema. Taarifa ya vivutio...

Mazoezi makali yanaongezea umri?..

Wewe ni mkimbiaji au muinua vyuma? Wakimbia katika mbio za masafa marefu au katika mashindano ya michezo mitatu tofauti - triathlon? Ni mazoezi yapi ambayo unaweza kufanya ikiwa unataka kujiongezea umri? Je, ni vyema zaidi kufanya mazoezi mafupi na makali, au marefu zaidi lakini ya taratibu? Kwa mujibu wa Daktari Jamie Timmons, Profesa wa masomo ya bayologia ya uzee katika Chuo Kikuu cha Birmingham, dakika tatu za mazoezi makali kila juma kwa...

WABUNGE WAZICHAPA WAKATI WA MDAHALO KWENYE TV.SHOW

a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvUE-3IdrVzVDdRAkVbf9UX_oBv3ikVHMaFcJI1Y3xPsFr_S-9GkT88Na1XAkSmD_3ueR2QJbG30bDAu7srtfgqdHUhYVAVmDz59yOUyI-nEgLEKJGZgtFUO6Q-_ipPrX4GghyROySGXX3/s1600/wabunge.jpg" imageanchor="1" > Wabunge wawili wapigana makonde wakati wa kipindi cha mdahalo kwene runinga ya kitaifa huku Georgia. Huko Lebanon wabunge wengine wawili pia warushiana glasi za maji na baadae kupigana ngumi vilevile...