a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvUE-3IdrVzVDdRAkVbf9UX_oBv3ikVHMaFcJI1Y3xPsFr_S-9GkT88Na1XAkSmD_3ueR2QJbG30bDAu7srtfgqdHUhYVAVmDz59yOUyI-nEgLEKJGZgtFUO6Q-_ipPrX4GghyROySGXX3/s1600/wabunge.jpg" imageanchor="1" > Wabunge wawili wapigana makonde wakati wa kipindi cha mdahalo kwene runinga ya kitaifa huku Georgia. Huko Lebanon wabunge wengine wawili pia warushiana glasi za maji na baadae kupigana ngumi vilevile wakati wa mdahalo kwenye Televisheni. Hii ni baada ya wabunge hao kuhitalafiana kuhusu vita vinavyoendelea nchini Syria baina ya waasi na serikali ya Rais Basher al Assad.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
9 hours ago
0 comments:
Post a Comment