a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvUE-3IdrVzVDdRAkVbf9UX_oBv3ikVHMaFcJI1Y3xPsFr_S-9GkT88Na1XAkSmD_3ueR2QJbG30bDAu7srtfgqdHUhYVAVmDz59yOUyI-nEgLEKJGZgtFUO6Q-_ipPrX4GghyROySGXX3/s1600/wabunge.jpg" imageanchor="1" >
Wabunge wawili wapigana makonde wakati wa kipindi cha mdahalo kwene runinga ya kitaifa huku Georgia.
Huko Lebanon wabunge wengine wawili pia warushiana glasi za maji na baadae kupigana ngumi vilevile wakati wa mdahalo kwenye Televisheni. Hii ni baada ya wabunge hao kuhitalafiana kuhusu vita vinavyoendelea nchini Syria baina ya waasi na serikali ya Rais Basher al Assad.
WAZIRI AWESO ATANGAZA KUMALIZIKA KWA CHANGAMOTO YA MAJI DAR
-
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ameziagiza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi
wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuwasha mitambo yote ili kuondoa mgao
...
37 minutes ago






0 comments:
Post a Comment