Tuesday 27 February 2018

BABA MKWE AMLAZIMISHA MKE WA MWANAE KUMPIGA BUSU…!!

Maajabu kweli mengi yanatokea hasa tukifanya vitu kupitiliza nikimaanisha nini, kuna bwana mmoja kutoka Yancheng China alilewa kupitiliza jambo lililopelekea kumpiga busu kwa lazima mke wa mwanae siku ya harusi yao.
Tukio hilo liliwaudhi watu wengi hasa wanafamilia wa pande zote mbili na kuzua ugomvi baina yao.
Wanandoa hao wameumizwa na kitendo hicho sana, ukizingatia video ya tukio hilo imezidi kusambaa katika mitandao ya kijamii.
Police wamedai kuwa wamefanya uchunguzi na tukio hilo lilitokea 22 mwezi wa pili.
Familia imeomba watu waache kuisambaza video hiyo kwani haileti picha nzuri kwa jamii.

0 comments:

Post a Comment