
Wanawake na wanaume hulia tofauti..
Watafiti wa nchini Ujerumani walifanya utafiti kuhusu kulia na kubaini
kuwa wanawake hulia kati ya mara 30 hadi 63 kwa mwaka na wanaume hulia mara 6
hadi 17 kwa mwaka.
Wanaume hulia kwa dakika mbili hadi nne wakati wanawake hulia kwa zaidi ya
dakika sita.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tiba cha Muhimbili, Dk Kitila Mkumbo anasema kitendo
cha kulia kinatokana na mifumo ya hisia.
Anasema...