Home »
» Elinaja kijana aliyeamua kuandika bongo fleva kwenye mtihania atoa single yake mpya akimshirikisha barnaba.
September 17, 2012
Bado
Tanzania haijamsahau huyu mwanafunzi ambae aliongelewa sana wakati
matokeo ya form IV yalipotoka mwaka jana kutokana na kuandika mistari ya
bongofleva kwenye mtihani wake baada ya kuona hakuna chochote
alichopata kwenye elimu.
Elinaja
alisema aliamua kuandika mistari ya bongofleva ili wahusika wapate
msg, hata hivyo alisema kitu ambacho ana uhakika uwezo wa kukifanya anao
ni muziki ambapo amerekodi upya single yake ya Mr President na
kumshirikisha Barnaba, bonyeza play hapo chini kumsikiliza na
kudownload.
0 comments:
Post a Comment