Monday 17 September 2012

Elinaja kijana aliyeamua kuandika bongo fleva kwenye mtihania atoa single yake mpya akimshirikisha barnaba.


Bado Tanzania haijamsahau huyu mwanafunzi ambae aliongelewa sana wakati matokeo ya form IV yalipotoka mwaka jana kutokana na kuandika mistari ya bongofleva kwenye mtihani wake baada ya kuona hakuna chochote alichopata kwenye elimu.
Elinaja alisema  aliamua kuandika mistari ya bongofleva ili wahusika wapate msg, hata hivyo alisema kitu ambacho ana uhakika uwezo wa kukifanya anao ni muziki ambapo amerekodi upya single yake ya Mr President na kumshirikisha Barnaba, bonyeza play hapo chini kumsikiliza na kudownload.

0 comments:

Post a Comment